Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Baadhi ya mitandao (kama sio yote) imekuwa na utaratibu wa kukata pesa kwenye salio la muda wa maongezi pasipo sababu.
Yaani mtu hujajiunga na huduma yoyote lakini unashangaa salio limekatwa.
Hivi wakikata hizo mia mia au mia mbili kwa watu laki 1 si wanapata faida sana? Kwanini wanafanya hivyo? Haya makampuni ya simu yaache wizi. Isitoshe vifirushi viko juu, ni vile tu hakuna namna nyingine! Sijapenda.
Halafu mbaya zaidi ukipiga huduma kwa wateja, simu haipokelewi! Duh!
Yaani mtu hujajiunga na huduma yoyote lakini unashangaa salio limekatwa.
Hivi wakikata hizo mia mia au mia mbili kwa watu laki 1 si wanapata faida sana? Kwanini wanafanya hivyo? Haya makampuni ya simu yaache wizi. Isitoshe vifirushi viko juu, ni vile tu hakuna namna nyingine! Sijapenda.
Halafu mbaya zaidi ukipiga huduma kwa wateja, simu haipokelewi! Duh!