#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

Kila mtu anajua kujikinga na malaria, anajua dalili za malaria, anajua tiba ya Malaria, inatibika hospital na zahanati..kiufupi hakuna jipya , watu wanakufa ndio sababu ni ugonjwa , usipojikinga vema na kupata tiba kwa wakati na dozi sahihi unakufa. Ila corona ni kama mpya nguvu lazima IWE nyingi...na itafika wakati nayo itakuwa ya kawaida na itapata dawa, Kinga sahihi....na pia ugonjwa mpya ndio wakati wa kupiga hela.
 
wagonjwa wa,
1.KISUKARI
2.PRESHA
3.MOYO
4.SARATANI
5.UKIMWI
wagonjwa wa maradhi hayo wanapaswa wachue tahadhari sana maana Corona itatumaliza sana.
 
Back
Top Bottom