#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

Acha uboya ,mada inasema malaria inaua sana kuliko kovid ,nikasema wekeni hizo data tuzione.

Kuhusu takwimu za simbachawene tambua yeye anapata taarifa za nchi nzima kutoka kwenye vyombo vyake kama unabishana naye basi we endelea kubisha.


We ndo bure kabisa, si umuige hata mwenzio kiranga anatetea hoja zake kwa takwimu, sasa wewe eti wekeni hapa data tuzione la sivyo we endelea kumbishia simbachawene.

This argument is too deep for you, jifunze kwanza basic data analysis then basic number argumentation ndo uje , acha niendelee na kiranga we kwangu bado learner.
 
Sawa.

Nimeshakwambia data zetu feki. Wewe unajua zaidi.

Usichanje.

Mimi nafurahi usipochanja, kwa sababu unatimiza uhuru wako. Sipendi ulazimishwe kuchanja.

Wewe unafurahi usipochanja, kwa sababu unatimiza uhuru wako.

Anayetaka kuchanja anafurahi usipochanja, kwa sababu kwenye nchi yenye chanjo chache, usipochanja wewe ndipo anayetaka kuchanja anapata nafasi zaidi ya kuchanja.

Asiyetaka kuchanja anafurahi usipochanja, kwa sababu kambi yake inapata watu wengi zaidi wasiotaka kuchanja kama yeye.

Tatizo liko wapi?

Mimi sina tatizo na mlio/mnao chanja, ila nina tatizo kubwa na hizo promo za chanjo along with analysis uchwara.

Mi napenda mchanjwe hivyo hivyo kama panya wa majaribio ili sisi tupate chanjo version bora kabisa, nyie kajazeni consent form ili clinical trial ifanyike vizuri, mkiwa wengi wengi ndio vizuri maana tunapata sample size nzuri ..ila mchomwe kimya kimya acheni kupotosha watu.
 
Mimi sina tatizo na mlio/mnao chanja, ila nina tatizo kubwa na hizo promo za chanjo along with analysis uchwara.

Mi napenda mchanjwe kwa sababu mnatimiza haki yenu, lakin nafurahi zaid mkiwa panya wa majaribio ili sisi tupate chanjo version bora kabisa, nyie kajazeni consent form clinical trial ifanyike vizuri, ila pigeni kimya acheni kupotosha watu.
Nishakukubalia hizo data na analysis uchwara.

Nimeshakukubalia usichanje kwa kuangalia pande nne tofauti kama mvumbuzi Magellan anataka kuvuka bahari.

Unazidi ku debate nini zaidi na mimi?

Au una asili ya kubishana tu hata pale unapokubaliwa kila kitu?
 
Nishakukubalia hizo data na analysis uchwara.

Nimeshakukubalia usichanje kwa kuangalia pande nne tofauti kama mvumbuzi Magellan anataka kuvuka bahari.

Unazidi ku debate nini zaidi na mimi?

Au una asili ya kubishana tu hata pale unapokubaliwa kila kitu?
We ulifunga mjadala kwenye post yako hapo mwisho, na mimi si nimefunga kama we ulivyofunga, is there any problem bro?

We umefunga kwa kuonyesha msimamo wako na kuniuliza kama kuna shida, na mimi hivyo hivyo na nikakujibu hakuna shida so long as umeamua kuwa panya wa majaribio.

Sasa mbona unaenda mbele kwa ku-extend mjadala, mi na wewe na wewe nani atakua na asili ya ubishi au nani anataka ubishi na mwenzie?
 
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
Jaribu kutumia akili kidogo!hiyo malaria wazungu wanaijua?kama inakusumbua wewe miaka na miaka , watalaam wako wa kiafrika wamechukua jitihada gani kuitokomeza?!!yaani kila kitu lazima awe mzungu?!!unafikiria hii covid ingekuwa ni Afrika tu, leo hii hiyo chanjo ingekuwa imepatikana?!unajua serikali za USA, na ULAYA, zimetumia mabilioni mangapi kwenye utafiti hadi ugunduzi wa hizo chanjo?!
 
We ndo bure kabisa, si umuige hata mwenzio kiranga anatetea hoja zake kwa takwimu, sasa wewe eti wekeni hapa data tuzione la sivyo we endelea kumbishia simbachawene.

This argument is too deep for you, jifunze kwanza basic data analysis then basic number argumentation ndo uje , acha niendelee na kiranga we kwangu bado learner.

Kumbe lengo lako ni kubishana tu? Basic data analysis ndio nini maana umeng'ang'ania sana hilo neno ,inaonyesha ni mtu wa kukariri....Yaani wewe mpenga makamasi unifundishe mimi jinsi ya kutoa hoja? Unashindwa hata kuelewa nini kinazungumziwa hapa!
 
Kumbe lengo lako ni kubishana tu? Basic data analysis ndio nini maana umeng'ang'ania sana hilo neno ,inaonyesha ni mtu wa kukariri....Yaani wewe mpenga makamasi unifundishe mimi jinsi ya kutoa hoja? Unashindwa hata kuelewa nini kinazungumziwa hapa!
Babu nshakutaa mbona unaleta shobo, hebu temana na mimi basi I don't deal with knucklehead like you, get off me...!
 
Babu nshakutaa mbona unaleta shobo, hebu temana na mimi basi I don't deal with knucklehead like you, get off me...!

Next time jifunze kubalance shobo ,sio kila member unataka kum_qoute na kumletea maujinga yenu mliodanganywa na mwendazake.
 
Ulieandika uzi huu MUNGU akubariki wewe na uzao wako wote.
 
Next time jifunze kubalance shobo ,sio kila member unataka kum_qoute na kumletea maujinga yenu mliodanganywa na mwendazake.
We panya wa majaribio hebu kaa kwa kutulia, au ndio madhara ya chanjo yashaanza kujionyesha mapema.
 
We panya wa majaribio hebu kaa kwa kutulia, au ndio madhara ya chanjo yashaanza kujionyesha mapema.

Empty Set aka Zero Brain........Msiwapeleke pia watoto kwenye chanjo nyingine.

Wazungu wanataka kukuua wakati unashindia uji wenye chumvi ,mchana mihogo vipande viwili na usiku ndizi boko boko za kuchemsha na maji ya kwenye lambo mnashare na mifugo.
 
Waliochanjwa wanapata maambukizi ya Covid-19, lakini maambukizi hayo hayashamiri, wengi wanakuwa hata hawaoni dalili, virusi vinauawa na antibodies zilizokuwa activated na vaccine.

Hiyo ndiyo idea ya vaccine, una activate antibodies ili mtu akipata maambukizi antibodies zishinde maambukizi.

Ndiyo maana Marekani wanaolazwa mahospitalini kwa Covid zaidi ya 97% ni wasiochanjwa, na wanaokufa kwa Covid zaidi ya 99% ni wasiochanjwa.

Wanaochanjwa wanashauriwa wavae mask kwa sababu haijulikani wasiochanjwa wanazalisha variants gani mpya ambazo zitareact vipi na vaccines za sasa.

Wakati tunaongelea Delta variant, tunaambiwa kuna Lambda variant imekuja, na tunapoongelea Lambda variant, hatujui kuna variant gani inaanza kuzunguka leo.

Ingewezekana wote wachanjwe siku moja, au hata 95% ya watu wangekuwa vaccinated siku moja, hizi new variants zingekuwa contained sana.

Lakini, kwa sababu kuna watu hawataki kuchanjwa, hilo lina maana kuna new variants zinaanzishwa kila siku.
Hii ni aina nyingine ya Ramli.
Ova
 
Empty Set aka Zero Brain........Msiwapeleke pia watoto kwenye chanjo nyingine.

Wazungu wanataka kukuua wakati unashindia uji wenye chumvi ,mchana mihogo vipande viwili na usiku ndizi boko boko za kuchemsha na maji ya kwenye lambo mnashare na mifugo.

Limjaalo mtu ndio limtokalo, naona unazidi kujichoresha the real you..

Ili baada ya hiyo chanjo ya kwanza mabeberu waone wanaweza kuwahonga nini wakitaka tena panya wa majaribio, haya tofauti na matatizo ya kisaikolojia na ku share na mifugo maji nini kingine unachokiishi wewe na wenzako kwenye jamii yako, endelea endelea haraka watu wanataka ku-compile report chaap.
 
Gharama za viturushi,
Tozo za miamala,
Upandaji wa bei ya mafuta,
Sekeseke la wapinzani na ugaidi,
Mazingaombwe ya corona.

Hakika bomu analopika huyu mama sijui ataliteguaje.
 
Hii ni aina nyingine ya Ramli.
Ova
Hujaeleza kwa nini ni aina nyingine ya ramli, hivyo hata kukubishia ni vigumu.

Unaweza kuikataa ramli hii, si lazima.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja?

Msikilize Simbachamwene.

 
Limjaalo mtu ndio limtokalo, naona unazidi kujichoresha the real you..

Ili baada ya hiyo chanjo ya kwanza mabeberu waone wanaweza kuwahonga nini wakitaka tena panya wa majaribio, haya tofauti na matatizo ya kisaikolojia na ku share na mifugo maji nini kingine unachokiishi wewe na wenzako kwenye jamii yako, endelea endelea haraka watu wanataka ku-compile report chaap.

Wewe jiendekeze kwa upoyoyo ,mwendazake alileta ubishi uviko ikamfyeka ,ushauri wangu kwako wewe ndezi ,nenda kapime blood group lako kama hauna elfu 2 ya kupimia sema nikutumie ,ukishajua blood group yako ,kama ni O basi endelea na msimamo wako ila kama ni tofauti nenda kapige chanjo ,Only The Strong will survive.

Wazungu wanataka kukuua wakati life style lako ni full kujiua.
 
Tatizo kubwa ni kuwa antivaxxers wa Tanzania walitaka msimamo wa Magufuli wa kukataa chanjo kuletwa nchini usibadilishwe. Hawakutaka serikali kuruhusu chanjo iwepo nchini. Shida yao hata sasa wanataka serikali iwe anti-vaxxer. Sio suala la hiari au la.

You’re on different premises.
Mimi libertarian. Mtu akitaka kucheza Russian roulette na maisha yake, ni haki yake.

Unapozidi kulazimisha na kutetea chanjo unaongeza maswali mengi kuhusu chanjo pia.

Kwa hivyo, anayetaka kuchanja achanje, asiyetqka juchanja asichanje.
 
Wewe jiendekeze kwa upoyoyo ,mwendazake alileta ubishi uviko ikamfyeka ,ushauri wangu kwako wewe ndezi ,nenda kapime blood group lako kama hauna elfu 2 ya kupimia sema nikutumie ,ukishajua blood group yako ,kama ni O basi endelea na msimamo wako ila kama ni tofauti nenda kapige chanjo ,Only The Strong will survive.

Wazungu wanataka kukuua wakati life style lako ni full kujiua.
Safii sana, tatizo la tatu tumelijua, yaan una/ mna elimu duni kiwango cha kusikitisha, next time watapata panya wengi zaidi wa majaribio kwa propaganda ya blood group , endelea endelea kufunguka..
 
Back
Top Bottom