DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Acha uboya ,mada inasema malaria inaua sana kuliko kovid ,nikasema wekeni hizo data tuzione.
Kuhusu takwimu za simbachawene tambua yeye anapata taarifa za nchi nzima kutoka kwenye vyombo vyake kama unabishana naye basi we endelea kubisha.
We ndo bure kabisa, si umuige hata mwenzio kiranga anatetea hoja zake kwa takwimu, sasa wewe eti wekeni hapa data tuzione la sivyo we endelea kumbishia simbachawene.
This argument is too deep for you, jifunze kwanza basic data analysis then basic number argumentation ndo uje , acha niendelee na kiranga we kwangu bado learner.