#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

Unauliza swali, unasema sijajibu, unatoa jibu nililokupa, halafu unasema jibu nililokupa lina cintradiction.

Hapa ni lazima uamue kimoja.

Sijakujibu au nimekujibu jibu lenye contradiction?

Haiwezekani hapo hapo nikawa sijakujibu, halafu hapo hapo nikawa nimekujibu jibu lenye contradiction.

Naona wewe ndiye mwenye contradiction hapa.
Unajichanganya tu braza
 
Unajichanganya tu braza
You are not even wrong.

Sema unajichanganya hapa na hapa, kwa sababu hii na hii, na ili usijichanganye fanya hivi na hivi.

Mimi nimekueleza, wewe umeshindwa kujenga hoja.

Unatuhumu tu.
 
Marekani kwa sasa zaidi ya 97% ya watu wanaolazwa hospitali kwa Covid-19 na zaidi ya 99% wanaofariki ni watu waliokataa kuchanjwa.

Soma maneno ya wataalam hapo chini, usisikilize conspiracy theory tu.

"More than 99% of recent deaths were among the unvaccinated, infectious disease expert Dr. Anthony Fauci said earlier this month on NBC's Meet the Press, while Walensky noted on Friday that unvaccinated people accounted for over 97% of hospitalizations."


Hizo % ni ya watu hospitalized wangapi ambao wamepata maambukizi, isijekua 2 % ya waliopata maambukizi wamekua hospitalized and make a total of 97% of hospitalized cases the same applies to hiyo 99% ya death,

Hapo kwenu marekani mortality rate ya korona ni around 2%, ila kwa haraka mtu akiangalia hizo data zako anaweza kudhani 97% na 99% ya ambao hawajachanja wanalazwa na wanakufa kwa covid, kumbe story ni tofauti kabisa.
 
Maambukizi yanazidi kwa sababu watu hawataki kuchanja, kama wewe.

Kama idadi ya wanaochanjwa daily inaongezeka lakini pia maambukizi yanaongekeka proportionally how on earth utasema wasio chanja wanasababisha maambukizi kuongezeka?, means hiyo chanjo yenu efficacy yake ina walakini
 
Hizo % ni ya watu hospitalized wangapi ambao wamepata maambukizi, isijekua 2 % ya waliopata maambukizi wamekua hospitalized and make a total of 97% of hospitalized cases the same applies to hiyo 99% ya death,


Hapo kwenu marekani mortality rate ya korona ni around 2%, ila kwa haraka mtu akiangalia hizo data zako anaweza kudhani 97% na 99% ya ambao hawajachanja wanalazwa na wanakufa kwa covid, kumbe story ni tofauti kabisa.
Unasema kwamba kuna Wamarekani wengi sana wanaumwa vibaya sana kiasi cha kutakiwa kulazwa halafu wanakataa kulazwa?

Matatizo yako ya kujua kusoma namba unataka kunipa lawama mimi?
 
Kama idadi ya wanaochanjwa daily inaongezeka lakini pia maambukizi yanaongekeka proportionally how on earth utasema wasio chanja wanasababisha maambukizi kuongezeka?, means hiyo chanjo yenu efficacy yake ina walakini
Unaweza kuandika kwa namba, kwa asilimia, kama mimi nilivyokuandikia kwamba wanaolazwa zaidi ya 97% na wanaokufa zaidi ya 99% ni wasiochanjwa?

Ili tubishane kwa data na sources tuachane kubishana kijingajinga bila data?

How could you talk about proportionally without data?
 
 
Unasema kwamba kuna Wamarekani wengi sana wanaumwa vibaya sana kiasi cha kutakiwa kulazwa halafu wanakataa kulazwa?

Matatizo yako ya kujua kusoma namba unataka kunipa lawama mimi?
Wanaumwa halafu wanakataa kulazwa?!! bro una shida gani kwani, mbona huu uelewa wako sio wa kiranga I know..ukiumwa sana unakataa vipi kulazwa?!!!
 
Unaweza kuandika kwa namba, kwa asilimia, kama mimi nilivyokuandikia kwamba wanaolazwa zaidi ya 97% na wanaokufa zaidi ya 99% ni wasiochanjwa?

Ili tubishane kwa data na sources tuachane kubishana kijingajinga bila data?

How could you talk about proportionally without data?
Safii, here you are coming..


Mme vaccinate 54% and graph inapanda!

Tunaposema tunahitaji a solid clinical trial ndo hapa sasa, kujua kama hiyo vaccine inazuia au haizuii ina delay au ina shoot bila kusahau safety in a long period of time.View attachment 1874506View attachment 1874507View attachment 1874508
Screenshot_20210730-214703.jpg
 
Wanaumwa halafu wanakataa kulazwa?!! bro una shida gani kwani, mbona huu uelewa wako sio wa kiranga I know..ukiumwa sana unakataa vipi kulazwa?!!!
Sasa kama wanaoumwa sana karibu wote wanalazwa, hizo figures za wanolazwa unaanzaje kuziwekea shaka kwamba zinaakisi ukweli?
 
Safii, here you are coming..


Mme vaccinate 54% and graph inapanda!

Tunaposema tunahitaji a solid clinical trial ndo hapa sasa, kujua kama hiyo vaccine inazuia au haizuii ina delay au ina shoot bila kusahau safety in a long period of time.View attachment 1874506View attachment 1874507View attachment 1874508View attachment 1874509
Karibu nusu hawajachanja, halafu unashangaa idadi ya maambukizi kuongezeka?

54% waliochanjwa ni ya watu wangapi? Maambukizi yaliyoongezeka ni mangapi?

Maambukizi hayo yanawezekana kutokea katika hiyo 46% iliyobaki?
 
Karibu nusu hawajachanja, halafu unashangaa idadi ya maambukizi kuongezeka?

54% waliochanjwa ni ya watu wangapi? Maambukizi yaliyoongezeka ni mangapi?

Maambukizi hayo yanawezekana kutokea katika hiyo 46% iliyobaki?

Kama more than 50 wamechanja tulitegemea namba ishuke sana, lakin inaendelea kupanda.

Yaan kabla ya kuchanja namba ilikua ina shoot then ika drop kidogo then inapanda tena, huwez kuniambia less than 50 hawajachanja lakin still graph ipande the same way wakati hawajachanja, can't you see the difference?

Pitia kwenye hizo screenshot au routers site(nimeshindwa ku-attach link) kujibu hayo maswali yako.
 
Sasa kama wanaoumwa sana karibu wote wanalazwa, hizo figures za wanolazwa unaanzaje kuziwekea shaka kwamba zinaakisi ukweli?
The keyword ni wanaoumwa sana, vipi wasioumwa sana au wasiokua na dalili yoyote katika hao positive covid?
 
Kama more than 50 wamechanja tulitegemea namba ishuke sana, lakin inaendelea kupanda.

Yaan kabla ya kuchanja namba ilikua ina shoot then ika drop kidogo then inapanda tena, huwez kuniambia less than 50 hawajachanja lakin still graph ipande the same way wakati hawajachanja, can't you see the difference?

Pitia kwenye hizo screenshot au routers site(nimeshindwa ku-attach link) kujibu hayo maswali yako.
50% ya wangapi? Ukiwa na watu milioni 100 hawajachanja na wengi hawavai hata mask utategemea maambukizi yashuke?

Yashuke kwa nini wakati kuna watu milioni 100 hawajachanjwa?
 
The keyword ni wanaoumwa sana, vipi wasioumwa sana au wasiokua na dalili yoyote katika hao positive covid?
Hao wengi ni waliochanjwa, na hapo ndipo umuhimu wa chanjo unapokuja.

Ukichanjwa, hata ukiambukizwa, mara karibu zote huoni dalili, very rarely utapata dalili, na wachache wakipata dalili inakuwa kidogo tu, chanjo inasaidia kupigana na virusi. Mpaka inafikia zaidi ya 97% ya wanaolazwa US wanakuwa wasiochanjwa, na zaidi ya 99% wanaokufa kwa Covid-19 wanakuwa wasiochanjwa.

Unataka kubishana na odds za kifo za zaidi ya 99%?

Be my guest. Hakuna anayekulazimisha kuchanja. Chanjo zenyewe chache Tanzania. Waachie wanaotaka kuchanja wachanje.

Mimi nimekubali chanjo. Nimechanja tangu March.

Wewe hutaki chanjo. Usichanje. Si lazima. Serikali haikulazimishi. Waziri Mkuu Majaliwa kashasema hakuna atakayelazimishwa kuchanja.

Mtu akitaka kukulazimisha kuchanja niite kukusaidia kupinga shuruti hilo, nutakusaidia kupinga.

Tatizo liko wapi?
 
Back
Top Bottom