#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

Sawa.

Wewe ndiye unajua. Hizo data zina walakini.

Usichanje.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja?

Usichanje.

Mtu akikulazimisha kuchanja nitatetea haki yako ya kukataa kuchanja.

Umekataa kuchanja, kwa sababu zako zozote zile, zenye msingi au zisizo na msingi. Hakuna wa kukuingilia katika haki yako hii. Akikuingilia mtu tutatetea haki yako hii hata kama hatukubaliani nawe kuhusu chanjo.

Tatizo liko wapi?
Ndo maana hapo juu nikasema its either umepanick au huyu anae type hapa sio wewe, maana najua argumenting capacity yako.


Hapa tunazifanyia analysis hizi data zako ki-mantiki (umekua ukihubiri sana mantiki) sasa we unaleta habari za mimi ni haki yangu kukataa hakuna wa kunilazimisha, is that relevant?!!!
 
Mpaka sasa hakuna new variant ambayo imeshinda vaccine.

Wewe kataa chanjo utengeneze new variant tu.

Ni haki yako ya kikatiba.

Kuna mtu kakulazimisha kuchanja?

Hujanijibu swali hili.
Nimekuuliza mbona huko kwenu mlipochanja ndio prevalence iko juu? Hakuna ulichojibu zaidi ya kusema mimi silazimishwi, ha ha haaa


Haya huko juu pia ulisema wasiochanjwa wanazalisha new variants ambao hamko sure kama itawaathiri nyie mliochanjwa or not, what a contradiction???!!!!!
 
Chanjo hazijafanyiwa research?

Unataka research ifanywe kwa miaka mingapi ili uikubali?

Na kwa miaka yote hiyo unayosubiri research ikamilike utakubali kufa kwa Corona tu kwa sababu research ya miqka kadhaa haijamalizika? Hqtq kqmq chanjo imepatikana na inafanya kazi?

Ukisubiri miaka 10 ya kuiangalia chanjo, halafu mtu akasema hiyo miaka 10 haitoshi, kwa sababu hatujui madhara ya miaka 15 na 20, utakataa hiyo vaccine?

Nishasema, kama hutaki chanjo, usichanje.

Kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja?
Research za drug/vaccine discoveries sio research za twaweza za week 2,


Ina maana wakati Helsink wanatoa International Conference on Harmonization on ICH good clinical practice ( ICH GCP), na ku-set standard za clinical research when it comes to human subject hawakuona possibility za outbreak disease na risk over benefit ?!
 
Mabandiko yako ya kwenye huu uzi yangeprintiwa yakawekwa kila kona ya barabara zote za dunia nzima

Natamani watu wote duniani tupate elimu kama hii kuhusu covid vaccination hakika tungeudhibiti huu ugonjwa haraka sana

Mods wangeunganisha hizi posts wakaweka sticky mwanzoni juu kabisa ya jukwaa hili watu wasome wapate kuelimika

Your contribution is highly appreciated and extremely valuable as it may save a life or two. Keep doing this

Thank you.

This guy Kiranga yuko vizuri sana when it comes to argumentation na vitu vingi katufungua hapa JF, nakiri hilo.


Ila kwa hili la vaccine leo kapotea njia, inabidi akasome vizuri mambo ya immunology, epidemiology and vaccine au awaze upya, leo kachemka.
 
Research za drug/vaccine discoveries sio research za twaweza za week 2,


Ina maana wakati Helsink wanatoa International Conference on Harmonization on ICH good clinical practice ( ICH GCP), na ku-set standard za clinical research when it comes to human subject hawakuona possibility za outbreak disease na risk over benefit ?!
Swali zuri sana ambalo hautapewa jibu.
 
Sasa si hapo juu umesema wasiochanja wanatengeneza new variants, means hata wasio chanja wanakuhusu ndo maana mmechanjwa still mnavaa barakoa nk kama ambao hawajachanja!!
Hakuna upumbavu mkuu kama huu, unaambiwa uchanje uokoe maisha yako, halafu bado unarudishwa kwenye restrictions za kipuuzi.

Kama hizo chanjo zao zinawakinga wasife, kwanini wanaambiwa wavae barakoa.

It's a matter of choice, ambaye hataki chanjo aachwe afe, kwanini waliochanjwa ndio wanaongoza kwa hofu kushinda ambao hawajachanjwa !
 
Research za drug/vaccine discoveries sio research za twaweza za week 2,


Ina maana wakati Helsink wanatoa International Conference on Harmonization on ICH good clinical practice ( ICH GCP), na ku-set standard za clinical research when it comes to human subject hawakuona possibility za outbreak disease na risk over benefit ?!
Watu wenye maarifa hubadilisha guidelines na policies kulingana na mazingira.

Ulichoandika hapo ni akili mgando.Hata misahafu ya dini watu wanajiongeza, itakuwa hizo guidelines na policies?

Nimekwambia kama hutaki kuchanja, usichanje.

Anayetaka kuchanja achanje. Asiyetaka kuchanja asichanje.

Tatizo liko wapi?
 
Nimekuuliza mbona huko kwenu mlipochanja ndio prevalence iko juu? Hakuna ulichojibu zaidi ya kusema mimi silazimishwi, ha ha haaa


Haya huko juu pia ulisema wasiochanjwa wanazalisha new variants ambao hamko sure kama itawaathiri nyie mliochanjwa or not, what a contradiction???!!!!!
Unauliza swali, unasema sijajibu, unatoa jibu nililokupa, halafu unasema jibu nililokupa lina cintradiction.

Hapa ni lazima uamue kimoja.

Sijakujibu au nimekujibu jibu lenye contradiction?

Haiwezekani hapo hapo nikawa sijakujibu, halafu hapo hapo nikawa nimekujibu jibu lenye contradiction.

Naona wewe ndiye mwenye contradiction hapa.
 
This guy Kiranga yuko vizuri sana when it comes to argumentation na vitu vingi katufungua hapa JF, nakiri hilo.


Ila kwa hili la vaccine leo kapotea njia, inabidi akasome vizuri mambo ya immunology, epidemiology and vaccine au awaze upya, leo kachemka.
Unataka kwenda na itifaki zilizoganda kupambana na kirusi anayebadilika kila miezi michache. Utakufa.

Wewe kataa chanjo. Ni haki yako ya kikatiba.

Hakuna anayekulazimisha kuchanja.

Akikulazimisha mtu nitakusaidia kwenye kudai haki yako ya kikatiba kuwa mjinga na kukataa chanjo.

Halafu tutakaa na kuacha nature ifanye kazi yake tuone nani yuko upande sawa na nani kakosea.
 
Hakuna upumbavu mkuu kama huu, unaambiwa uchanje uokoe maisha yako, halafu bado unarudishwa kwenye restrictions za kipuuzi.

Kama hizo chanjo zao zinawakinga wasife, kwanini wanaambiwa wavae barakoa.

It's a matter of choice, ambaye hataki chanjo aachwe afe, kwanini waliochanjwa ndio wanaongoza kwa hofu kushinda ambao hawajachanjwa !
Kwani kuna mtu kakulazimisha kuchanja?
 
@Kiranga jibu hili kwanza, achana na kusema ni haki yangu kikatiba
Maambukizi yanazidi kwa sababu watu hawataki kuchanja, kama wewe.

Marekani kwa sasa zaidi ya 97% ya watu wanaolazwa hospitali kwa Covid-19 na zaidi ya 99% wanaofariki ni watu waliokataa kuchanjwa.

Soma maneno ya wataalam hapo chini, usisikilize conspiracy theory tu.

"More than 99% of recent deaths were among the unvaccinated, infectious disease expert Dr. Anthony Fauci said earlier this month on NBC's Meet the Press, while Walensky noted on Friday that unvaccinated people accounted for over 97% of hospitalizations."

 
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
Chanjo ya Malaria iko njiani kutengenezwa
 
Kifuatacho...

"Anti-vaxxer sheriff's deputy dies from COVID-19 complications shortly after mocking the vaccine on Facebook"


Huyu mjinga alikuwa na access ya kupata chanjo tangu January 2021.

Akajitia ubishi na habari za kubeza chanjo.

Amefariki May 2021.

Endeleeni kubishia chanjo tu.

Hamtalazimishwa kuchanja.

Tena Tanzania chanjo zilivyo chache mnawapa nafasi nzuri wanaotaka chanjo wachanjwe bila bugudha za mstari mrefu sana.
 
Ndo maana hapo juu nikasema its either umepanick au huyu anae type hapa sio wewe, maana najua argumenting capacity yako.


Hapa tunazifanyia analysis hizi data zako ki-mantiki (umekua ukihubiri sana mantiki) sasa we unaleta habari za mimi ni haki yangu kukataa hakuna wa kunilazimisha, is that relevant?!!!
Mantiki ukiiona utaijua?

Kukaa na kukataa chanjo kwa kufuata protocol zilizoganda wakati wa kupambana na kirusi anayebadilika sana ndiyo mantiki?
 
Mantiki ukiiona utaijua?

Kukaa na kukataa chanjo kwa kufuata protocol zilizoganda wakati wa kupambana na kirusi anayebadilika sana ndiyo mantiki?
Issue sio kupambana, issue ni njia zinazotumika kupambana
 
Kifuatacho...

"Anti-vaxxer sheriff's deputy dies from COVID-19 complications shortly after mocking the vaccine on Facebook"


Huyu mjinga alikuwa na access ya kupata chanjo tangu January 2021.

Akajitia ubishi na habari za kubeza chanjo.

Amefariki May 2021.

Endeleeni kubishia chanjo tu.

Hamtalazimishwa kuchanja.

Tena Tanzania chanjo zilivyo chache mnawapa nafasi nzuri wanaotaka chanjo wachanjwe bila bugudha za mstari mrefu sana.
Kwahiyo unaamini kila ambaye hajachanjwa atakufa ?

Tukumbushane survival rate ya COVID huko US ulipo
 
Kwahiyo unaamini kila ambaye hajachanjwa atakufa ?

Tukumbushane survival rate ya COVID huko US ulipo
Kila ambaye hajachanjwa atakufa, kila ambaye kachanjwa atakufa.

Chanjo ya Covid-19 si chanjo ya kuzuia usife. Chanjo hiyo ya kuzuia kufa haijagunduliwa bado.

Swali lako halina mantiki.
 
Angalia nature ya maambukizi yake !! ogopa sana ugonjwa unaoambukiza kwa njia ya hewa - ugonjwa unaoshambulia mfumo wa upumuaji unaweza kuua watu hata 2000 kwa muda mfupi.
 
Issue sio kupambana, issue ni njia zinazotumika kupambana
Hata hapo hujaweza kujenga hoja kwa kutumia probabilities, chances, cost benefit analysis etc.

Mimi nimekuonesha data kwamba Marekani kwa sasa zaidi ya asilimia 97 ya wanaolazwa hospitalini kwa Covid-19 ni watu waliokataa chanjo, na zaidi ya asilimia 99 ya wanaokufa kwa Covid-19 ni waliokataa chanjo.

Unabishana na statistics zinazoonesha zaidi ya asilimia 99 wanaokufa kwa Covid sasa ni waliokataa chanjo!

Hakafu unasema issue ni njia zinazotumika kupambana.
 
Back
Top Bottom