#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

#COVID19 Malaria ndio inaua zaidi kuliko COVID19, mbona nguvu nyingi ziko kwenye COVID19

Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.

Toka shule ya msingi tunafundishwa malaria, mpaka mitihani tunajua swali la malaria au hiv lipo. Tunajua malaria ni nini inaambukizwaje na unajikinga vp, maeneo mengi yana mabango ya malaria Tv kila muda matangazo yanapita na hii imekuwa continuous tangu zamani . Leo hii unasema Malaria haitiliwi mkazo? Ni vyandarua vingapi vimegawiwa? Serikali ime subsdize vyandarua mpaka madawa ya malaria kama ALU sehem nyingine zinagawiwa bure ? Bado unasema malaria haitiliwi mkazo ? Au wewe binafsi ndo hauitilii mkazo ? Kuna movement nyingi sana za malaria na hii ni kila mara hata hii huoni ? Au unataka ukamatwe kwa nguvu uwekwe kwenye net ?..

Seriously una tatizo mahali
 
Unataka clinical trial data kwa chanjo ambazo zishakuwa administered kwa hundreds of million of people na kuna data zinazotokana na real life vaccination, si clinical trial?
Sasa bila data tuta evaluate vipi efficacy na safety yake?
 
Wanaochanjwa wanashauriwa wavae mask kwa sababu haijulikani wasiochanjwa wanazalisha variants gani mpya ambazo zitareact vipi na vaccines za sasa.
Here you are coming, hawana uhakika na efficacy yake, why...? Coz hakuna clinical trial iliyofanyika apart from vacconology theory za kwenye simulation, hence hawana uhakika hailindi au inalinda kwa kiwango gani au ina delay infection etc etc.
 
Ndiyo maana Marekani wanaolazwa mahospitalini kwa Covid zaidi ya 97% ni wasiochanjwa, na wanaokufa kwa Covid zaidi ya 99% ni wasiochanjwa.

.

How sure on this on long run without a trial study?
 
.

Ingewezekana wote wachanjwe siku moja, au hata 95% ya watu wangekuwa vaccinated siku moja, hizi new variants zingekuwa contained sana.

Lakini, kwa sababu kuna watu hawataki kuchanjwa, hilo lina maana kuna new variants zinaanzishwa kila siku.

Kama hii pandemic ilianza na case 1 the hundreds of thousands hiyo 5% isiyochanjwa kama ndio inazalisha variants ambayo chanjo haina uwezo nayo huoni ni zoezi ambalo halina mantiki maana huwez kuchanja 100% maana aliyechanjwa hawezi kulindwa ?
 
Tulia kijana. Sisi tunahakikisha mnapata chanjo ya corona. Pia tumeahidiwa ten% ya mauzo ya hizo chanjo zitakapopata soko kwenye nchi yenu. Mpango uliopo nikuwa tunajua corona haiwadhuru waafrika hivyo tunalazimisha chanjo ili ije ionekane hamjadhurika kwakuwa mumechanja ila ukweli nikuwa hamjadhurika kwakuwa kinga zenu zinahimili hao virus kupambana nao.
Nimekuelewa
 
COVID-19 imeua 4.2 million dunia nzima tangu ianze. Malaria inaua 400,000 dunia nzima kwa mwaka. Acha UONGOOOO... Kadanganye bibi zako kijijini...
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
 
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
Hujazuia kuweka nguvu kwa mambo yanayokusumbua. Sisi wenye pesa inatusumbua COVID-19.
 
Kama hii pandemic ilianza na case 1 the hundreds of thousands hiyo 5% isiyochanjwa kama ndio inazalisha variants ambayo chanjo haina uwezo nayo huoni ni zoezi ambalo halina mantiki maana huwez kuchanja 100% maana aliyechanjwa hawezi kulindwa ?
Ni muhimu sana twende kwa proportion.

Unaelewa kwamba hakuna kitu kama "100%", kwamba hiyo ni dhana ya kinadharia tu?

Unaelewa leo watu wanasema Polio imetokomezwa kwa chanjo, lakini hilo halimaanishi kwamba hakuna mtu anayeumwa Polio leo?

Unaelewa kwamba inawezekana hiyo 5% yako ambayo inakataa chanjo inaweza kutengeneza new variants zitakayoiua hiyo 5% mpaka 5% yote ikafa na 95% ikaendelea kuishi bila kuathirika?
 
COVID-19 imeua 4.2 million dunia nzima tangu ianze. Malaria inaua 400,000 dunia nzima kwa mwaka. Acha UONGOOOO... Kadanganye bibi zako kijijini...
Watanzania wangapi wanakufa kwa malaria kila mwaka ?

Tuanzie hapo, halafu ndio tuje hapo kwa Bibi zangu ulipoanzisha.
 
How sure on this on long run without a trial study?
What is "long run" ?

The Economist John Maynard Keynes was asked about the long run, you know what was his answer?

In the long run, we all die.

Kwani ukichanjwa maana yake hutakufa?
 
Idea ya chanjo but hatuna uhakika kama hii inafanya hivyo
Uko vitani, unaona unalengwa na risasi, unasubiri kamati ya ulinzi ikae na kutoa itifaki ya miezi sita ya kupitishwa na majenerali zitumwe kwako kukushauri jinsi ya kukwepa risasi. Utakufa!

Soma, jielimishe, uliza pointed questions.Tutakujibu. Ukileta ubishi napo sawa tu, ni haki yako ya kikatiba.
Na wala hatuhitaji kubishana nawe sana kuku convince upige chanjo, suala la usalama wako mwenyewe.

Kama hutaki kuchanja usichanje, kwani umelazimishwa? Si Majaliwa kasema chanjo ni hiyari? Umeambiwa lazima?

Umelazimishwa kuchanja?

Mimi natetea haki za wote wanaokataa kuchanjwa wasichanjwe. Hususan kwa sababu, wanaochanjwa, so far, wanalindwa dhidi ya kuumwa na kuwa hospitalized. Wasiochanjwa ndio wanaoumwa, wanaolazwa na wanaokufa.Marekani zaidi ya 97% ya wanaolazwa hospitali ni wasiochanjwa. Zaidi ya 99% wanaofariki ni wasiochanjwa.

Inawezekana kutochanjwa kwao kutasababisha vifo vingi vya wajinga na vizazi vyao kufutika, vizazi vinavyofuata vitakuwa na wajinga wachache zaidi.

Kama unaleta ubishi kwenye jambo linalosababisha vifo, mimi siwezi kukulazimisha usikifuate kifo.

Mimi nitakuelimisha tu, ukikataa elimu sina jinsi, itabidi upigwe tu.

Na mimi wala sitakulilia, kwa sababu utakuwa umeyataka mwenyewe.
 
Ni muhimu sana twende kwa proportion.

Unaelewa kwamba hakuna kitu kama "100%", kwamba hiyo ni dhana ya kinadharia tu?

Unaelewa leo watu wanasema Polio imetokomezwa kwa chanjo, lakini hilo halimaanishi kwamba hakuna mtu anayeumwa Polio leo?

Unaelewa kwamba inawezekana hiyo 5% yako ambayo inakataa chanjo inaweza kutengeneza new variants zitakayoiua hiyo 5% mpaka 5% yote ikafa na 95% ikaendelea kuishi bila kuathirika?
Bado hakuna uhakika hizo ni nadharia tu ambazo zisizokuwa na uhakika maana hakuna uhakika wa kisayansi kuwa 5% haitatengeneza au itatengeneza variants wapya watakaomaliza 5% iliyobaki.


Swali langu la msingi.

Wewe unadhani kwanini FDA huko kwenu US hawajathibitisha uthabiti wa hizi chanjo ?
 
Moja kwa moja kwenye uzi.

Ugonjwa unaongoza kuua watu Tanzania kwa miaka na miaka ni malaria, lakini hatujawahi kutumia nguvu yeyote ya kutisha kukabiliana nao zaidi ya kupeana neti za misaada.

Magonjwa mengine yaliyoua /yanayoua watu wengi sana ni Shinikizo la damu na Sukari//kisukari .


Ugonjwa wa Covid-19 ukiupata una asilimia zaidi ya 97 (97%) kupona.

Yaani tukitaja magonjwa kumi (10) yanayoua watu wengi zaidi hapa Tanzania corona haipo kabisa, inapitwa mbali sana.

Idadi kubwa ya watanzania ni vijana na watoto ambao hawa wana zaidi ya asilimia 98 (98%) za kupona huu ugonjwa wa Covid-19.

Ni kwanini tunatumia nguvu kubwa ya kutaka kufungia watu uchumi wao na uhuru wao wa kufanya ibada kwa ugonjwa ambao ni asilimia 2% tu ( kwa makadirio ya juu sana ) wanaweza kupoteza maisha ?

Kwanini nguvu tunayojifanya tunaiweka kwenye COVID-19 tusiiweke kwanza kwenye magonjwa yanayoua watanzania wengi zaidi ambayo ni Malaria, Presha , Kisukari . Huku kwenye COVID-19 tuendelee na utaratibu wa herd immunity kama mwaka jana!.


Yaani sisi ni kama mtu anayefuga kuku, ambapo ndani wiki moja , kuna mwewe anakula kifaranga mmoja tu halafu hapo hapo kuna paka anakula vifaranga nane kwa siku. Badala ya kuua paka anayekula vifaranga nane kwa siku , tunatumia nguvu kupambana na mwewe anayekula kifaranga mmoja kwa wiki huku tukiacha vifaranga nane vikiendelea kuliwa na paka.

Nimalizie kwa kusema, Hayati Rais Magufuli mtamsema kwa mabaya yote, lakini hili la COVID-19 ataendelea kusifika kwa maono yake. Nchi yetu maskini sana kuigiza maigizo ya kuwekeana limitations wakati watu kutwa wanajazana mwendokasi , hawana ustararaabu wa kunawa mikono mara kwa mara na wengine hizo barakoa ndio kabisa yaani hawawezi hata kuzinunua .


Tuache Maigizo kwenye Maisha ya watu.
Haiui wazungu. Inaua Waafrika hakuna hasara
 
Kama hutaki kuchanja usichanje, kwani umelazimishwa? Si Majaliwa kasema chanjo ni hiyari? Umeambiwa lazima?

Umelazimishwa kuchanja?

Mimi natetea haki za wote wanaokataa kuchanjwa wasichanjwe. Hususan kwa sababu, wanaochanjwa, so far, wanalindwa dhidi ya kuumwa na kuwa hospitalized. Wasiochanjwa ndio wanaoumwa, wanaolazwa na wanaokufa.

Inawezekana kutochanjwa kwao kutasababisha vifo vingi vya wajinga na vizazi vyao kufutika, vizazi vinavyofuata vitakuwa na wajinga wachache zaidi.
Unavyosema hivyo utadhani hii chanjo ukichanjwa haupati COVID-19
 
Toka shule ya msingi tunafundishwa malaria, mpaka mitihani tunajua swali la malaria au hiv lipo. Tunajua malaria ni nini inaambukizwaje na unajikinga vp, maeneo mengi yana mabango ya malaria Tv kila muda matangazo yanapita na hii imekuwa continuous tangu zamani . Leo hii unasema Malaria haitiliwi mkazo? Ni vyandarua vingapi vimegawiwa? Serikali ime subsdize vyandarua mpaka madawa ya malaria kama ALU sehem nyingine zinagawiwa bure ? Bado unasema malaria haitiliwi mkazo ? Au wewe binafsi ndo hauitilii mkazo ? Kuna movement nyingi sana za malaria na hii ni kila mara hata hii huoni ? Au unataka ukamatwe kwa nguvu uwekwe kwenye net ?..

Seriously una tatizo mahali
Nani kakwambia ishu ni elimu tu, mbona COVID hawajaishia kwenye elimu peke yake. Walikuja na Masks na Lockdowns watu wakapata umaskini , wamekuja na guidelines za kutupangia hadi muda wa kusali uote ndani ya mwaka mmoja.

We unadhani Malaria ingepewa mkazo mkubwa kama corona leo hii si ingekuwa historia.
 
Back
Top Bottom