Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,561
- Thread starter
- #41
Ukisema variants wapya wanakuwa hosted na wasiochanjwa ina maana waliochanjwa hawapati COVID-19?Variants mpya zinachochewa sana na watu wasiochanjwa.Hata huku, US kwa mfano, kuna watu wengi wanakataa chanjo kwa sababu ya kujazana ujinga.
Hao ndio wanaoumwa sana na kulazwa. Sasa hivi Marekani zaidi ya 97% ya wanaolazwa hospitalini kwa Covid ni wasiochanjwa.Hawa ndio wanaotengeneza new variants. Kati ya wanaokufa kwa Covid US zaidi ya 99% ni waliokataa chanjo.
Wengi wanaomba kuchanjwa baada ya kuumwa, wanaambiwa chanjo haifanyi kazi hivyo, unatakiwa uchanjwe kabla ya kuumwa.
Waliochanjwa hawatengenezi variants mpya, hata wakiambukizwa miili yao inaweza kufight viruses na kushinda mapema hata hawajui wamepata infection, hivyo hawatengenezi variants mpya.
![]()
Nearly all COVID deaths in US are now among unvaccinated
Nearly all COVID-19 deaths in the United States now are in people who weren’t vaccinated, a staggering demonstration of how effective the vaccines have been and an indication that daily deaths — now down to under 300 — could be practically zero if everyone eligible got the shots.apnews.com
![]()
U.S. COVID Deaths Are Rising Again. Experts Call It A 'Pandemic Of The Unvaccinated'
Reversing a months-long downward trend, deaths from COVID-19 have begun rising steadily this week. More than 99% of the recent fatalities were among people who had not been vaccinated.www.npr.org
Hilo ni moja, Mbona jana CDC wametoa ushauri hata waliochanjwa wavae Masks kama ni kweli ambao hawajachanjwa ndio wenye matatizo?