The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Kibwetere akisikia ataanza kubwatuka upyaaaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi tulipoteza mama mjamzito na kichanga chake tumboni sababu ya malaria, alipimwa na kukutwa na malaria ila kibaya zaidi na figo zake zikafail muda mfupi baadae.Ziletwe tu. Maana malaria ni katili kwa watoto na mama wajawazito.
Mkuu calculator unayotumia ina matatizo!.Wenzetu hawa hawakati tamaa, finally wamegundua chanjo baada ya miaka 31
Mkuu nikupe zoezi dogo, nenda kituo chochote wanachotoa chanjo ya covid-19 waombe kwa upole wakupe ile karatasi ya maelezo ya chanjo ambayo kila dawa yoyote ya binadamu hata Aspirin huwa nayo.utasikia mabeberu wanataka kutuua hawa na haya machanjo yao..
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] ila DahhKwa nini 'asichanjwe' mbu badala ya biandamu?
Mkuu ni typing èrrorMkuu calculator unayotumia ina matatizo!.
Mimi nimetengeneza repelantHiyo itengeneze wewe,wao wametengeneza chanjo,mgawanyo wa majukumu na wewe tengeneza yako uitakayo kwa idea yako.
Washamba na malimbukeni wa madaraka watasema mabeberu ni weziTimu gaidi watasema chanjo iwe ya lazima
Obviously there's a strong secret behind the scenario...[emoji87]Hivi Afrika mbona tunaandamwa sana na haya masuala ya chanjo, whats happening?
..UN-WHO wameidhinisha chanjo ya ugonjwa wa Malaria.
[emoji3][emoji3][emoji3]Kwa nini 'asichanjwe' mbu badala ya biandamu?