Mwenye akili kiduchu will reason kama wewe. Kuhubiri HAKI KWA WATAWALA KUTENDA HAKI ndiyo kuwa Chadema?Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema
Ni chadema haswaa.Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema
Ni heri mtu yule afanyaye kazi ya Mungu kuliko anayefanya kazi ya Shetani , asema Bwana .Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema
Shoo alihubiri HAKI among watawala and automatically Amani inakuwepoVipi kuhusu bwana Shoo?
teh teh.Huyo ni bwana wako tu ondoa shaka
aibu ganiAibu naona mimi Mamndenyi
Yule mzee falla sana.Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii
Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.
Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.
Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Sijamsikia Malasisa akihubiri chuki ...Shoo alihubiri HAKI among watawala and automatically Amani inakuwepo
Kazi ya Mungu ndo kusapoti siasa za CHADEMA? Acheni upuuzi wa kumhusisha Mungu na siasa zenu za majitaka. Mpinzani wenu ni CCM sio KKKTNi heri mtu yule afanyaye kazi ya Mungu kuliko anayefanya kazi ya Shetani .