Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan kuna aliewahi kushangaa Askofu shoo kuwa mwanachadema na bagonza mshabiki wa siasa alie makini sana maoni yake yakizingatia zaidi upepo wa siasa unapoelekea?🐒Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii
Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.
Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.
Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
mwabie askofu shoo arudishe vx8 alilopewa na chadema kwa mgongo wa chairman TaifaYule mzee falla sana.
Anaikula Lutheran kijanja kwa kulipwa na ccm
mioyo itawauma, itawachoma na kuchakaaa sana aise 🐒Naunga mkono hoja
Card yake namba ngapi?Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema
ila lile liV8 mlilompa askofu shoo mwanangu dah 💪🙏👍👊👌Ni heri mtu yule afanyaye kazi ya Mungu kuliko anayefanya kazi ya Shetani , asema Bwana .
Kwani huyo ni babangu?mwabie askofu shoo arudishe vx8 alilopewa na chadema kwa mgongo wa chairman Taifa
Wewe ndiye kunywa sumu unayejilalamisha lalamisha hapa.Kanywe sumu