Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
nimeshindwa kabisa kuwa nyumbu kama wewe,Kwani huyo ni babangu?
ccm hamnaga akili kabisa.
Hivi wewe ni mzee wa kijiji hadi uwe chawa wa ccm?
dah mwangu mkali una matusi kama panyarodi vile 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeshindwa kabisa kuwa nyumbu kama wewe,Kwani huyo ni babangu?
ccm hamnaga akili kabisa.
Hivi wewe ni mzee wa kijiji hadi uwe chawa wa ccm?
Wewe ndiye unayelishwa kwa kila kitu ndio maana kwa ujinga wako unashangaa mtu akiwa na deni mahali. Kwa hakika wewe ni mtoto na mwenye akili ya kitoto sanaUtulie wewe anayeishi kwa shemeji yako na hujui gharama za maisha zilivyo.
Nyumbu huenda ni babako, na akili zangu siwezi kusumbua akili kwa vyama uchwara.nimeshindwa kabisa kuwa nyumbu kama wewe,
dah mwangu mkali una matusi kama panyarodi vile 🐒
Wewe endelea kuweweseka tuNitaongea na shemeji yako akutimue nyumbani kwake
ninywe sumu vipi tena akati mmtegemeza Mzee na jambo kubwa na la maana sana 🐒Kanywe sumu
relax sasa 🤣Nyumbu huenda ni babako, na akili zangu siwezi kusumbua akili kwa vyama uchwara.
mie sio wa huko kwenu siwezi hemka hataraaa 🐒Nenda kajinyonge
Hatua za nini wewe nyaurelax sasa 🤣
kwa papara na mihemko yako wewe sijui ata kama utapiga ata hatua2 watakua wameshakunyaka unakula mboko za mbwa Koko 🤣
aah samahani nyumbu 🐒Hatua za nini wewe nyau
Fanyeni mpango mjisajili kama taasisi ya kidini. Tayari mna Nabii mpumbavu Lema.Sema hivi CDM ni Tunu ya Taifa na imeletwa na Mungu kuwakomboa Watanzania
Mmawia jua kuwa comment yangu bila kuwa na akili huwezi kuelewa.Mungu ni yupi? Yaani Malasusa unamuita Mungu?
Itakuwa umerogwa wewe siyo bureeee
Hizo dua zenu za kingese hazijawahi fanikiwa. Kwahiyo kwa sasa mnataka watu waachane na KKKT? Ndo shabaha yenu baada ya kushindwa kushika dola?Siku Malasusa akijikuta pekee yake kanisani ndiyo atajua peoples power na hasira za watanzania
Kivipi?Malasusa amejidhalilisha sana !
Kumkiri shetani MazabauniKivipi?
Yupi au kwakuwa mmetofautiana mtazamo?Kumkiri shetani Mazabauni
Huo ndio msimamo wake na msimamo wa Mababa Askofu wa KKKT waliompigia kura. Mkienda kinyume naye maana Waamini wote wa KKKT mnawapinga. Nani atawapogia kura 2024 na 2025? Huku Kanisa Moja Katoliki la Mitume sie ni CCM tu!Shallow reasoning za machawa utaziona! Instead of kuhubiri haki, yeye analeta uchawa kwa samia eti hajakulia kuipinga serikali. kama serikali haitend haki usiikemee? kwa hiyo Idd Amin alivyomuua Askofu Janan Luwum was correct kwa vile alipinga SRIKALI KUUA WATU?