Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Utulie wewe anayeishi kwa shemeji yako na hujui gharama za maisha zilivyo.
Wewe ndiye unayelishwa kwa kila kitu ndio maana kwa ujinga wako unashangaa mtu akiwa na deni mahali. Kwa hakika wewe ni mtoto na mwenye akili ya kitoto sana
 
Siku Malasusa akijikuta pekee yake kanisani ndiyo atajua peoples power na hasira za watanzania
Hizo dua zenu za kingese hazijawahi fanikiwa. Kwahiyo kwa sasa mnataka watu waachane na KKKT? Ndo shabaha yenu baada ya kushindwa kushika dola?
 
Siku mliacha kutoa sadaka ndo hapo akili zitawakaa sawa hao wakina malasusa
 
Shallow reasoning za machawa utaziona! Instead of kuhubiri haki, yeye analeta uchawa kwa samia eti hajakulia kuipinga serikali. kama serikali haitend haki usiikemee? kwa hiyo Idd Amin alivyomuua Askofu Janan Luwum was correct kwa vile alipinga SRIKALI KUUA WATU?
Huo ndio msimamo wake na msimamo wa Mababa Askofu wa KKKT waliompigia kura. Mkienda kinyume naye maana Waamini wote wa KKKT mnawapinga. Nani atawapogia kura 2024 na 2025? Huku Kanisa Moja Katoliki la Mitume sie ni CCM tu!
 
Back
Top Bottom