Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uchungu wa mtoa bandiko dhidi ya malasusa kuiunga mkono serikali kumenifanya nichokoze nyuki kwa mbali, tena kwenye kajambo kadogo kama haka unakokajibu wewe......

Askofu Dr. Shoo was a darling of Chadema katika uongozi wake wote politically speaking, hiyo haikua tatizo right?

Kuna tatizo gani Askofu Dr Malasusa kuwa darling wa serikali ya CCM right now?

Au ndio ile mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu
Mkuu to correct you. First, Malasusa hajaanza leo kuwa darling wa CCM , infact he is a CCM cadre in religious clothings. Two, mimi ninatofautiana na Malasusa kwa kupotosha kuwa maandamano ni machafuko, which is completely false!
 
Mkuu to correct you. First, Malasusa hajaanza kuwa darling leo wa CCM leo, infact he is a CCM cadre in religious clothings. Two, mimi ninatofautiana na Malasusa kwa kupotosha kuwa maandamano ni machafuko, which completely false!
uko sawa mkuu,
Dr. Malasusa is always positive towards CCM and Dr. Shoo is very positive towards chadema what's wrong 🐒
 
  • Thanks
Reactions: Tui
CCM wanahakikisha wamepandikiza mamluki wao ndani ya taaisisi hizi nyeti za kidini...bado tunasubiri Roman Catholic nao waliosalia.
 
Kiongozi wa dini kuwa mwanachama wa chama sio tatizo,tatizo ni ile hali ya kua na mahaba,mahaba Niue,All in all KKKT na BAKWATA ni matawi ya chama fulani cha kisiasa
 
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Hakuna mtumishi wa Mungu hapo, KKT mmepigwa..

Huyu ni kama Pengo mtupu
 
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Sasa hivi nawaamini Walokole na Wakatoliki, the rest hamna kitu.
Aliyekwenda kusali kwenye kanisa la huyu bwana sijui anajiskiaje.
 
Huyu mzee wa kinyakyusa ni CCM muda mrefu

Askofu shoo siyo chadema yeye anahubiri haki Ila anaonekana chadema

Ila Hilo mzee liansema yeye hakufunzwa kuwenda kinyume na serekali ameyazungumza hayo mbele ya askofu shoo anaye achia kijiti
 
Huyu mzee wa kinyakyusa ni CCM muda mrefu

Askofu shoo siyo chadema yeye anahubiri haki Ila anaonekana chadema

Ila Hilo mzee liansema yeye hakufunzwa kuwenda kinyume na serekali ameyazungumza hayo mbele ya askofu shoo anaye achia kijiti
Wala hatuhitaji Mtu wa kuhubiri ccm wala chadema.....Tunataka mtu wa Kusimama ktk Amani. haki na Umoja.

Kwa Huyo mzee hana sifa hata moja.
 
Huyo Bwana anamtumikia mungu wa dunia.....wanaomfata kama hawajashtuka wamepigwa sana
Mungu yupi? Labda wa Taifa la Israeli ila si Mungu anayetupea pumzi, kafanya dhihaka kubwa kwa waumini wake na kama Mungu angekuwa anajibu kwa moto kama zamani alivyofanya kwa anania na Safira saa hii tungekuwa tunaongea mengne.
 
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Tatizo siyo Malasusa, tatizo ni Kkkt, uliona wapi kanisa zinaendeshwa Kwa chaguzi kama za CCM Chinwaga?

Pesa za kugonga wajumbe wa kumchafuwa amepewa na ccm, sasa mnategemea nini?

Wale wageni wote kutoka nchi mbalimbali duniani mnadhani Nani anagharamia hotel, usafiri na chakula? Na lazima wapelekwe tour kutembelea vivutio vya utalii Kwa gorverment sponsorship.

Msiojuwa haya mambo Kwa undani mtamlaumu bure Malasusa, pale mtu kama Askofu Bagoza hawezi kuruhusiwa kushika Ile nafasi.
 
Mungu yupi? Labda wa Taifa la Israeli ila si Mungu anayetupea pumzi, kafanya dhihaka kubwa kwa waumini wake na kama Mungu angekuwa anajibu kwa moto kama zamani alivyofanya kwa anania na Safira saa hii tungekuwa tunaongea mengne.
Ndio maana nikasema ni mungu wa dunia sio Mungu Mwenyezi aliyeumba mbingu na Nchi.

Kwenye hizi Main Stream Religions and Dominations kuna watu viongozi hawako tofauti na Matapeli manabii wa uongo.

Kinachowabeba ni wako kwenye Imani zenye watu wengi
 
Ndio maana nikasema ni mungu wa dunia sio Mungu Mwenyezi aliyeumba mbingu na Nchi.

Kwenye hizi Main Stream Religions and Dominations kuna watu viongozi hawako tofauti na Matapeli manabii wa uongo.

Kinachowabeba ni wako kwenye Imani zenye watu wengi
SAwa nimekuelewa sasa.
 
Uchungu wa mtoa bandiko dhidi ya malasusa kuiunga mkono serikali kumenifanya nichokoze nyuki kwa mbali, tena kwenye kajambo kadogo kama haka unakokajibu wewe......

Askofu Dr. Shoo was a darling of Chadema katika uongozi wake wote politically speaking, hiyo haikua tatizo right?

Kuna tatizo gani Askofu Dr Malasusa kuwa darling wa serikali ya CCM right now?

Au ndio ile mkuki kwa ngurue kwa binadamu mchungu
Malasusa ni ndumilakuwili
 
Mzee Askofu shoo kapewa li v8 la kisasa na Chadema kwa mgongo wa chairman Taifa,

Unataka mie ninywe sumu badala niendelee kumuona Dr. Shoo akila maisha huku, wewe na wenzie mkichukia Malasusa kuiunga mkono Serikali
Kapewa kwa kutumia fedha ya serikali?
 
Mkuu to correct you. First, Malasusa hajaanza kuwa darling leo wa CCM leo, infact he is a CCM cadre in religious clothings. Two, mimi ninatofautiana na Malasusa kwa kupotosha kuwa maandamano ni machafuko, which completely false!
Pamoja sana
 
Tatizo ni Shoo aliwaaminisha CHADEMA kuwa KKKT ni tawi la CHADEMA. Mkanyang'anye V8 mliyompa kama takrima kwa sapoti haramu aliyowapa. Malasusa amekataa kutumika kisiasa.
Sio kwamba nyinyi ndio mliamini hivyo?

Sisi kila Mpenda Haki, Umoja amani na Maendeleo automatically anaunga mkono Falsafa na harakati za Chadema hata kama sio mwanasiasa.
 
Back
Top Bottom