Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Pre GE2025 Malasusa hakuanza leo kuwa mwana CCM, alishajitenga na dini akabakia kwenye siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Angekuwa Mchagga msingemsema hivyo.
 
Amani ya Nchi ni pamoja na Imani thabiti yenye hofu ya Mungu.
Kiongozi wa Dini anaposema kuwa hayuko kinyume na Serikali tafsiri yake ni pana.
Wengi tunadhani kuwa Serikali ni Executive/Taasisi ya Urais,Mahakama na Vyombo ya Ulinzi na Usalama tukasahau kuwa Amani na Utulivu msingi wake ni Imani za Dini.
Taasisi za Dini ni kioo cha Viongozi wa Serikali kujitazama kwa kuwa na wao ni sehemu ya jamii inayohitaji Amani na Utulivu,kusema wako upande wa Serikali ni kujiweka karibu kutibu matatizo yanayowakabili wenyeNchi.
 
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Askofu ana haki binafsi ya kuelezea msimamo wake wa kisiasa, lakini msimamo wake si kwa niaba ya KKKT.Vinginevyo, kwa wadhifa au uongozi alionao atashindwa kutoa angalizo kwa Serikali inapotenda yasiyo haki. Binafsi mimi nilishtuka siku moja JPM akiwa Rais, Askofu alimsimamisha Makonda asalimie waumini Kanisani pale Azania. Ndiyo ilikuwa siku ya kwanza kwangu kulazimishwa kumsikiliza Makonda.

Niliishiwa nguvu mwilini. Kilichonishangaza ni kama kweli Askofu alikuwa hana taarifa za usanii, ubambikizaji makosa watu, ukiukaji wa sheria wa wakati huo, mambo ambayo kijana huyu alikuwa anayafanya hadharani lakini akampa heshima ya kuitwa mbele ya Kanisa ambayo kwangu ilikuwa kama kumsafisha au kuunga mkono mambo ambayo kijana huyu alikuwa anayafanya kinyume kabisa na maadili ya Ukuu wa Mkoa.

Hayo ndiyo Askofu itabidi atenganishe kati ya utashi wake binafsi na Kanisa! Hadithi ya Askofu Shoo kuwe mbwa mzee inabidi ajifunze michezo mipya ndiyo kama hiyo. Vinginevyo ninamwombea Baba Askofu Malasusa uongozi mzuri uliotukuka.
 
Hakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii

Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.

Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.

Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
YUDA ISKARIOTE soon atajinyonga ...!!!!!
 
Amani ya Nchi ni pamoja na Imani thabiti yenye hofu ya Mungu.
Kiongozi wa Dini anaposema kuwa hayuko kinyume na Serikali tafsiri yake ni pana.
Wengi tunadhani kuwa Serikali ni Executive/Taasisi ya Urais,Mahakama na Vyombo ya Ulinzi na Usalama tukasahau kuwa Amani na Utulivu msingi wake ni Imani za Dini.
Taasisi za Dini ni kioo cha Viongozi wa Serikali kujitazama kwa kuwa na wao ni sehemu ya jamii inayohitaji Amani na Utulivu,kusema wako upande wa Serikali ni kujiweka karibu kutibu matatizo yanayowakabili wenyeNchi.
Umevurugwa wewe na ugumu wa maisha.

Tazameni wenzenu wa roman Catholic wanavyo simama na wananchi kwa kukemea serikali
 
Askofu ana haki binafsi ya kuelezea msimamo wake wa kisiasa, lakini msimamo wake si kwa niaba ya KKKT.Vinginevyo, kwa wadhifa au uongozi alionao atashindwa kutoa angalizo kwa Serikali inapotenda yasiyo haki. Binafsi mimi nilishtuka siku moja JPM akiwa Rais, Askofu alimsimamisha Makonda asalimie waumini Kanisani pale Azania. Ndiyo ilikuwa siku ya kwanza kwangu kulazimishwa kumsikiliza Makonda. Niliishiwa nguvu mwilini. Kilichonishangaza ni kama kweli Askofu alikuwa hana taarifa za usanii, ubambikizaji makosa watu, ukiukaji wa sheria wa wakati huo, mambo ambayo kijana huyu alikuwa anayafanya hadharani lakini akampa heshima ya kuitwa mbele ya Kanisa ambayo kwangu ilikuwa kama kumsafisha au kuunga mkono mambo ambayo kijana huyu alikuwa anayafanya kinyume kabisa na maadili ya Ukuu wa Mkoa. Hayo ndiyo Askofu itabidi atenganishe kati ya utashi wake binafsi na Kanisa! Hadithi ya Askofu Shoo kuwe mbwa mzee inabidi ajifunze michezo mipya ndiyo kama hiyo. Vinginevyo ninamwombea Baba Askofu Malasusa uongozi mzuri uliotukuka.
Malasusa kipindi hicho alikuwa na kashifa ya kununuliwa gari na Makonda,
 
Umevurugwa wewe na ugumu wa maisha.

Tazameni wenzenu wa roman Catholic wanavyo simama na wananchi kwa kukemea serikali
Ugumu wa Maisha ni kipimo Cha Akili.
Hakuna sifa wala faida ya kushindana kuisuta Serikali.
Nimesema Imani za Dini,kama Roman Catholic Church wanafanya ni vyema kwa upande wao kwa kuwa labda wanachosema wamekitafiti.
Tatizo nilionalo kwa baadhi yetu ni kujifanya wajuaji sana kuhusu masuala ya Nchi kumbe kichwani hamna chochote wala lolote.
Narudia tena Taasisi za Dini ni kioo kwa Viongozi wa Serikali kujitazama.
Case closed.
 
Back
Top Bottom