kwani fedha ni ya nani ata ulowekea bando πKapewa kwa kutumia fedha ya serikali?
shoo alikua kakakuona πMalasusa ni ndumilakuwili
Hapo CCM anatumikaje?... πTatizo ni Shoo aliwaaminisha CHADEMA kuwa KKKT ni tawi la CHADEMA. Mkanyang'anye V8 mliyompa kama takrima kwa sapoti haramu aliyowapa. Malasusa amekataa kutumika kisiasa.
Kwenye keyboard kila mtu ni ngariba.Tuma location jumatano tuamini kwamba wewe ni ngariba na sio kigoli tu.Unamkaribisha Ngariba kwenye sherehe za jando?
shoo ni mahaba niue chadema πMalasusa ana mahaba na ccm
Mkuu my point of contention with Malasusa ni upotoshaji anaoufanya Kanisani, madhabahuni! Mimbarini akiwa amevaaa mavazi ya ukuhani! Hilo tu!uko sawa mkuu,
Dr. Malasusa is always positive towards CCM and Dr. Shoo is very positive towards chadema what's wrong π
Jazia nyama madai yako.Toa mifano ya upotoshaji mimbarini alioufanya Askofu Malasula.Mkuu my point of contention with Malasusa ni upotoshaji anaoufanya Kanisani, madhabahuni! Mimbarini akiwa amevaaa mavazi ya ukuhani! Hilo tu!
Kwan shoo alikua amevaa mavazi ya kihuni alipokua anamkumBatia Mbowe na chadema? Kwani ilikua gizani au mlikua mmezongwa na mapepo hamkuona πMkuu my point of contention with Malasusa ni upotoshaji anaoufanya Kanisani, madhabahuni! Mimbarini akiwa amevaaa mavazi ya ukuhani! Hilo tu!
Huyu anafaa achukue nafasi ya Kinana pale CCMHakuna anayeshangaa kwa matamshi ya Askofu Malasusa leo hii
Tulikuwa tunamuona Malasusa anashiriki vikao na Jiwe na anapewa airtime ya kutosha kuwasema wapinzani hadharani.
Hivyo Leo ulikuwa ni kuhitimisha na kwaeleza wafuasi wake kuwa yupo pale kuhubiri mambo ya ccm.
Kwa hizi tabia Romani katoliki wataendelea kujivunia wafuasi wengi sana maana wana msimamo thabiti.View attachment 2878699
Alikwambia?Mstaafu Askofu Dr Shoo Yeye ni Chadema