Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sioni cha maana?
Yaani tumekutuma Kama taifa,umepewa mbususu ya kimalawi umetusalitiMambo yao yepi mgerasi? Hilo ziwa ni lao na mimi nawatetea. Kwanini sisi tusiwe na kiasi? Tuna Victoria, natron, Tanganyika, manyara na vidimbwi kadhaa vya kutosha. Na tuna fukwe ndefu kutoka karibu na Cabo Delgado hadi Tanga.
Ni ziwa Malawi siyo nyasa nawaunga mkono nchi yenye watoto wakali.
Malawi now my best and favorite country after Tanzania.
Upo serious mkuu.....ngoja tukutumie mwanamke wa Tz wamtaani kwetu....Siongei saaaanaaView attachment 2004598View attachment 2004599
Hapo kasapoti na mekapu sasa.Nawaza bila mekapu si tutakimbiana ndaniSiongei saaaanaaView attachment 2004598View attachment 2004599