passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Bado tz tupo na nguvu lakini sasa hivi tumejikita zaidi katika kujenga uchumi wetu.Zamani na labda kama tukipata tawala za kidiplomasia baadae
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tz tupo na nguvu lakini sasa hivi tumejikita zaidi katika kujenga uchumi wetu.Zamani na labda kama tukipata tawala za kidiplomasia baadae
Wakati mnapanga kupeleka macorona yenu huko hamkujua ni chakula ipi? Mtafekwa dabal dabal 😂😂Malawi ndio chakula ipi?
Wale washabiki wa kenya waje hapa
Mawaziri kadhaa walitumwa. Rais wetu mstaafu Kibaki ni mgonjwa asingeweza kuja. Endeleeni na mikwara zenu za kutoelewa mambo.Kumbe hapo naelewa
Ila kwa hadhi na thamani ya mkapa kwao haokuwa haki kumtuma seneta wa kaunti
Malawi ndio chakula ipi?
Zambia and South Africa to join Malawi very soonMalawi ndio chakula ipi?
Kaunti yenyewe ya maporiniKumbe hapo naelewa
Ila kwa hadhi na thamani ya mkapa kwao haokuwa haki kumtuma seneta wa kaunti
Malawi wamekwisha mwaga mboga tayari chakula utakijua tu.Malawi ndio chakula ipi?
Ukikimbia mshale ukisimama mshale! Haiwezekani wao watake kuja kwenu, afu nyie kwenda kwao eti marufuku! Wakenya sibonhwa kabisaKutaka kujifanya kiranja wa Africa itawatokea puani
View attachment 1523535
Tanzania ni Kijiji Cha Kenya.Kenya ni mkoa wa tanzania tu ila wanataka kujifanya wanajua sa ngoja tuwaonyeshe
Hawa watanyooka tu na uzungu wao fake!Kutaka kujifanya kiranja wa Africa itawatokea puani
View attachment 1523535
Subiri utajua tu ni nini... KUIPIGA STOP TANZANIA KQ WATAJUTA.. wasisahau kuwa TZ itapata sapoti ya waliosaidiwa kupata uhuru..Malawi ndio chakula ipi?
Kwani wakati mnaomba hamkujua kuwa kuna korona!?Malawi wamepiga stop kivipi, kwani kingereza ndio hamuelewi au vipi, wao walishapiga stop ndege zote na hapa wamesema hawapo tayari kufungua hadi hali ya corona ibadilike, hehehe mnavyojitekenya.