JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Rais Lazarus Chakwera amefanya maamuzi hayo kwa Lobin Lowe na Naibu Waziri Madalitso Kambauwa Wirima sababu ikiwa ni usimamizi mbovu na uzembe.
Wizaŕa hiyo inashutumiwa kwa kuchelewesha utekelezaji wa mpango ambapo wakulima wa vijijini wanapatiwa mbolea ya ruzuku na pembejeo za kilimo.
Lowe hajazungumza chochote kuhusu shutuma hizo, huku nafasi yake ikichukuliwa na Sam Kawale ambaye ameteuliwa.
---
Malawi president fires Agriculture Minister
Malawi's President Lazarus Chakwera has fired Agriculture Minister Lobin Lowe and his deputy Madalitso Kambauwa Wirima over what he termed "incompetence and gross negligence".
President Chakwera made the announcement in a televised address on Tuesday evening.
The agriculture ministry is accused of botching the implementation of a programme in which Malawian rural farmers are provided with subsidised fertiliser and farm inputs.
Mr Lowe has not commented on the accusations.
The president has since appointed Sam Kawale, formerly the lands minister, to replace Mr Lowe.
The president said more changes in his cabinet would be coming in due course.
Source: Malawi24
Wizaŕa hiyo inashutumiwa kwa kuchelewesha utekelezaji wa mpango ambapo wakulima wa vijijini wanapatiwa mbolea ya ruzuku na pembejeo za kilimo.
Lowe hajazungumza chochote kuhusu shutuma hizo, huku nafasi yake ikichukuliwa na Sam Kawale ambaye ameteuliwa.
---
Malawi president fires Agriculture Minister
Malawi's President Lazarus Chakwera has fired Agriculture Minister Lobin Lowe and his deputy Madalitso Kambauwa Wirima over what he termed "incompetence and gross negligence".
President Chakwera made the announcement in a televised address on Tuesday evening.
The agriculture ministry is accused of botching the implementation of a programme in which Malawian rural farmers are provided with subsidised fertiliser and farm inputs.
Mr Lowe has not commented on the accusations.
The president has since appointed Sam Kawale, formerly the lands minister, to replace Mr Lowe.
The president said more changes in his cabinet would be coming in due course.
Source: Malawi24