Afrika inaamka walianza Kenya, wakafata Zambia, ikafata DRC, baadae Malawi, S.A wakamuondoa mwenyekiti wa chama ANC , Zimbabwe wakamwengua Mugabe, Gabon Yahya Jammeh out, guess who is next??Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
kwa mgombea nani?Kama.unaamini tunaweza kumwondoa 2025 basi jua wakati wake ni sasa. Mapolisi wanaelekea kukata pumzi baada ya kushindwa kazi waliyotumwa kuzima upinzani nchi nzima.
His excellence Tundu Lissu the Iron Mankwa mgombea nani?
Habari njema hizi.......Huku OCt 2020 tunampasua JIWE.Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
huyo hawezi kumshinda Magufuli ndo maana nikasema mjipange kwa 2025His excellence Tundu Lissu the Iron Man
Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Nani kauliwa?Watakuwa wanajiandalia tiketi ya kwenda The Hague, huwezi kuwaua watu alafu ukabaki salama
AiseeMgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Joyce lazima atuambie Mbowe alifanya nn mguu wake, then you may proceed with ur dream, sbb mnaweza kupewa Ikulu mkavunjana miguu na mikono wenyewe just overnight alafu mletee taifa matatizo..
Thus aliweka mifumo ya kidikteta inayotuumiza leoNyerere alikuwa mshenzi tu nashangaaga watu wanaomsifia. Kama uhuru hajaleta yeye ilikuwa ni matakwa ya UN kukomesha ukoloni duniani kote alikuwa hana ubavu wa kuwaondoa wakoloni. Kifupi alikuwa dikteta tu.
Naona bado upo kwenye hangover ya kitendawili cha Membe