Afrika inaamka walianza Kenya, wakafata Zambia, ikafata DRC, baadae Malawi, S.A wakamuondoa mwenyekiti wa chama ANC , Zimbabwe wakamwengua Mugabe, Gabon Yahya Jammeh out, guess who is next??Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo
Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !