Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo

Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !
Afrika inaamka walianza Kenya, wakafata Zambia, ikafata DRC, baadae Malawi, S.A wakamuondoa mwenyekiti wa chama ANC , Zimbabwe wakamwengua Mugabe, Gabon Yahya Jammeh out, guess who is next??
 
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.

Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.

Malawi wamemaliza Kazi yao!

Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Habari njema hizi.......Huku OCt 2020 tunampasua JIWE.
 
Usifananishe Tanzania na vitu vya hovyo

Unajua kuwa Ccm ndio chama bora zaidi Africa ! na cha pili duniani kwa ubora !

Ukiona umefikia hatua ya kuona mwenzako hafai, basi ujue kuwa wewe hufai mara dufu yake.
 
Jamaa anawanyima raha magamba
His excellence Tundu Lissu the Iron Man
Screenshot_20200608-210107.jpeg
 
Afrika inaamka walianza Kenya, wakafata Zambia, ikafata DRC, baadae Malawi, S.A wakamuondoa mwenyekiti wa chama ANC , Zimbabwe wakamwengua Mugabe, Gabon Yahya Jammeh out, guess who is next??
Probably Tanganyika
 
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.

Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.

Malawi wamemaliza Kazi yao!

Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
Aisee
 
Naona bado upo kwenye hangover ya kitendawili cha Membe
Joyce lazima atuambie Mbowe alifanya nn mguu wake, then you may proceed with ur dream, sbb mnaweza kupewa Ikulu mkavunjana miguu na mikono wenyewe just overnight alafu mletee taifa matatizo..
 
Huko Malawi kama hivi:

Former Church President And Opposition Leader Wins Presidential Elections

Enyi kina Mbowe, Zitto, Maalim, Lipumba, Mbatia, Membe, na wote mbona mnatunyima raha kihivyo?

Umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Si mwaona mambo ya Malawi hayo? Mbona wanapigika sana tu?

Chonde chonde ndugu zetu tuwekeni ubinafsi pembeni.

Tuweke maslahi ya Tanzania mbele!

Mbona penye nia pana njia?
 
Back
Top Bottom