Tanzania haikuwahi kuwa na vyama vingi, ile ni geresha tuu.Hakuna haja ya sheria hio kwa sababu it's officially tumesharudi kwny mfumo huo,au wewe bado haujaona?
Nakwambia tena tuache kujilisha upepo kwa tume hii ushindi kwa upinzani ni IMPOSSIBLE.
Tegemea kukuona hapa jukwaani Nov. Ukipiga kelele za kuchakachuliwa.
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.
CCM yatosha bwashee!
Mkuu Mawia, nakukubali kwa jinsi unavyojitahidi kujijengea matumaini mithili ya mfa maji.
Unajua ukweli kwamba vyama vya upinzani Tanzania, hadi sasa, vinaongozwa na viongozi wanasiasa wachanga, wachumia tumbo na wanaharakati. Badala ya kujijenga kwa jamii ya wapiga kura, wanafanya hivyo kwa jamii yenye uwezo wa kutumia TEHAMA. Kutwa watajinasibu mitandao ya kijamii au kutumia vyombo vya habari. Wanayongoea huko zaidi ni ya kinadharia, kama siasa za zamani za kutoa ahadi hewa, au kutafuta huruma ya wasomaji.
Hivyo basi kulinganisha Malawi na Tanzania ni sawa na kulinganisha chui na paka. Serikali ya CCM imegusa kila sehemu ya maendeleo ya mpiga kura kwa vitendo, jambo ambalo viongozi wengi wa Bara la Afrika na hata nchi zote zinazoendelea, wameshindwa.
Naamini hapo ulipo, japo unashutumu kwa minajiri ya kujifariji, Tanzania ya leo siyo ya jana.
• Wanao, kama unao, wanasoma bure;
• Iwapo una gari lako mwenyewe barabara zimeboreshwa;
• Kama uko Chuo, mkopo unapata kwa wakati;
• Wewe ni mjasiriamali, basu husumbuliwi hovyo kana zamani; nk
Si issue ya uwoga Tz hakuna upinzani wa kweli bali wamejaa wachumia tumbo na wapiga dili tu, kifupi wapinzani HAWAAMINIKI.
Watanzania tunapenda na tuko tayari kwa mabadiliko, ila tukifanya mabadiliko wale watakao kabidhiwa nchi HAWAAMINIKI, acha mihemko kijana.
Mh! Kuendekeza njaa ipi? Fafanua.Wacha kuendekeza njaa
Kuna vyombo vya Dola vinavyoshughulikia wasiotii sheria, na kamwe sijatetea na sintotetea watu wa aina hiyo kama unavyofanya wewe. Kwangu maisha yangu na ya familia ndiyo muhimu, hao wanasiasa wanaganga njaa zao.Unajijua kuwa unaendekeza njaa kwa kutetea maovu kwa kujifanya huoni wachumia tumbo waliop ndani ya ccm
Kuna vyombo vya Dola vinavyoshughulikia wasiotii sheria, na kamwe sijatetea na sintotetea watu wa aina hiyo kama unavyofanya wewe. Kwangu maisha yangu na ya familia ndiyo muhimu, hao wanasiasa wanaganga njaa zao.
Kudanganywa na wanasiasa kwa ahadi hewa, kama iilivyokuwa zamani, kumepitwa na wakati.
Suluhisho lake?Tumedanganywa sana kwa kipindi cha zaidi ya nusu karne, wewe unafaidika na nini kama siyo kulijaza tumbo lako tu huku ukiwaacha ndugu zako waendelee kuwa ombaomba?
Suluhisho lake?
Tunabadili walio tutawala kwa hicho kipindi na kuwapa kijiti wengine watuonyeshe uwezo na uadilifu wao wa kutuongoza.
Vyama vipo na viongozi wao ni bora kabisa, sioni haja ya kumtaja mmoja mmoja hiyo ni kazi ya wapiga kura, wekeni uwanja ulio sawa wa kufanya siasa muwaachie wananchi waamueNakubaliana na wewe. Unadhani au unaamini nani mwenye uwezo na uadilifu wa kutuongoza ili tumpambe mapema kuelekea Uchaguzi Mkuu badala ya kuendeleza shutuma na lawama kwa uongozi uliopo madarakani?
Vyama vipo na viongozi wao ni bora kabisa, sioni haja ya kumtaja mmoja mmoja hiyo ni kazi ya wapiga kura, wekeni uwanja ulio sawa wa kufanya siasa muwaachie wananchi waamue
Ndio maana marafiki zake walikuwa akina Mobutu seseko, Milton Obote, Kamuzu Banda na wengine madikiteta wa kila aina including akina Fidel Castrol. Pia kutokana na umaskini na kwa kuogopa kunyimwa misaada akaja na sera za ujamaa za kutofungamana na upande wowote lakini kimsingi jamaa alikuwa dikiteta na aliwapenda madikiteta kama Urusi, korea na china. Waaraby hawakuwa na pesa hakujenga urafiki nao.Thus aliweka mifumo ya kidikteta inayotuumiza leo
Mkuu mbona una hasira kama za mkizi. Unakataa tamaa kirahisi hivyo kuna jambo kweli utajuja ufanikiwe maishani?Vyama vya upinzani havijajiandaa kuchukua nchi, mwaka 2015 watu waliumizwa, wengine wakafungwa, wengine wakafa, na wengine walipoteza kazi lengo ni ilikua kuwapigania viongozi na vyama vya upinzani viongoze serikali.
Ila mwishowe hao hao tuliowapigania kwa jasho na damu wameunga juhudi! Huu si usen*** , wapinzani wa Tz hawaaminiki heri maccm yaendelee kuongoza nchi tu.
Mgombea wa Chama Kikuu cha Upinzani Nchini Malawi (MCP) Dr. Lazarus Chakwera anaongoza kura kwa zaidi ya 60% dhidi ya Prof. Peter Mutharika anayetakiwa kuondoka Ikulu ya Malawi wakati wowote kuanzia sasa.
Hatua hii ni baada ya Mahakama kutengua Ushindi wa hujuma uliofanywa na Serikali ya Chama tawala cha DPP chini ya Prof. Peter Mutharika anayeondolewa Ikulu.
Malawi wamemaliza Kazi yao!
Muda ni hakimu mzuri, watanzania tujiandae kuyapokea mageuzi ya kiuongozi.