Ingawa namheshimu sana Mzee Malecela, lakini emetudhihirishia wazi kuwa kwake yeye, maslahi binafsi ni bora mara 100% kuliko maslahi ya nchi. [/SIZE][/B][/COLOR]
Nashauri tuyataje maslahi binafsi ya Malecela katika safu hii, na mimi naanza:
-JK alimteua kuwa mjumbe wa kudumu katika CC bila ridhaa ya chama ili kumpangusa machozi ya kukosa urais. Kawaida Makamu angekuwa mjumbe NEC ingetosha.
-JK alikubali ushauri wa Melecela kumgeuka Lowassa na kumtapeli. Awali walikubaliana aandike barua ya kujiuzuru lakini sisikubaliwe. Kwa ushauri wa Malecela, JK akaikubali.
-Wabaya wa Malecela katika mtandao wanashughulikiwa na JK, kwa hiyo mzee huyo anachekelea.
-JK kufuata ushauri wa Malecela unamharibia mambo ndani ya chama. Yakiharibika, Malecela anacheka pia na kutumabia yeye ndiye angefaa na siyo JK. Wengine ongezea.