Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
- Hivi kuna tatizo gani mimi nikisema ni lazima Dr. Slaa awe rais kwenye uchaguzi ujao? Sasa kama DK. Malecela anamtaka Rais Kikwete aendelee tatizo likpo wapi kwani hatakiwi kuwa na choice zake binafsi na kuzisema wazi kama sisi raia wengine?
- Naomba elimu hapo?
FMES!
Malecela anawasakama wana CCM wanaotaka kugombea urais kinyume na katiba na miongozo ya CCM.Hakuna sehemu yoyote inayosema rais incumbent asipingwe, anatumia ukiritimba tu ku force hoja zake binafsi
Anatumia ubabe na heshima yake kuanza kupiga kampeni kable ya kipindi cha kampeni, anaweka maslahi yake binafsi na mfumo wa kulindana mbele kuliko maslahi ya taifa.