Interested Observer
JF-Expert Member
- Mar 27, 2006
- 3,384
- 4,428
Yale manenno nilyoku-define hapo juu siyo matusi. Hebu kaangalie kamusi kwanza. Rejea maneno uliyoandika "hicho kizee kinasema hivyokutokana na kukosa nafasi ya kuwa mbunge kule bongo?". Only somebody who has got no ethics, primitive, etc can write such. Wewe siyo mstaarabu kwa lugha uliyotumia. Unavyo-m-advise Mr. Malecela aachie ubunge ungetumia lugha inayoeleweka; you need to learn wisdom!!.
Mkuu sawa,We andika uwezavyo na upeo wako mdogo na ujinga ulionao.
Mpumbavu na mjinga always anatanguliza matuzi na mbumbu ndiye wa kwanza kujionyesha kuwa yeye kasoma kuliko wenzake,
Lakini ukweli unabaki pale pale.Vijana ndiyo wanahitajika.
Sisi wazee,lazima tubaki nyuma kuwashauri vijana.
Malecela hana pointi kabisa, swala la nchi zingine kutokuwa na ukomo halina maana, au sisi watanzania hatupaswi kubuni, yaani tunacopi na kupaste tu? Mtu akiingia bungeni anavuna pesa zitakazomhakikishia kurudi baadaye na kutamka "JIMBO LANGU"! Je, iwapo mbunge anatoka tu kwa hiari yake, au kwa kifo, lini maovu yake yataonekana na kuchukuliwa hatua? Tena ningependekeza kuwa na kikomo hicho, lakini sio kikomo cha kuchukuliwa hatua kwa wizi na maovu aliyofanya akiwa madarakani.
Pole sana!! Hiyo ndiyo limit yako ya kufikiria, that is what defines us, and classify as we are. Ukiona vijana wanaanza kusema ati uchawi, anapesa etc basi hapo ujue kuwa umeishiwa. Kwanza lazima muelewe kuwa ubunge siyo rahisi kama mnavyofikiria. If you think you are edicated and you have the ability to lead you have to do your homework, no free coupons. You must jot your strategy. Lazima upange mkakati. Wale wanaoshinda Ubunge siyo kuwa wamesoma, au wana mafisadi pembeni, vilevile huwa na mikakati. Ukiona wewe kila wakati hupati na wengine wanapata ujue wewe unakosa mikakati fulani. Do your homework! Msipende kulaumu wengine kwa failure zenu.Angalia hili nao jinga na pumba zake.
Vijana waende?,watamtoa kweli huyu mzee na pesa zake kutoka kwa wale mafisadi wahindi waliomchangia kwenye harusi yake?.
Yeye achie ngazi na kuwachia vijana.
Acha ushabiki wa kijinga na kama hauna cha kuandika nenda kalale.
pumba! pumba! pumba!
.
1.Mkuu Fmes.
Kwanza ninakupa pole sana.
Unayemtukana sio mimi na ninasema tena kuwa sio mimi.
Nimecheka sana nilipoona unashusha mistari na unapata taabu kunijua na umerudia again and again.
Pole sana kaka wa US
2.Mkuu.
Muogope mungu wako sio vizuri kumsema mtu ambaye hauna uhakika naye kama ni yeye.Unakwenda mbali sana mkuu wangu.Punguza hasira mimi sio huyo mzee wa kinyakyusa unayemsema.
3.Mimi ni kijana sana na pengine ni mdogo kuliko wewe, ata huko NY sijawahi kufika.
4. Punguza Jazba na nitafute kwenye PM yangu na nitakuelezea mengi.Mimi sio mzee ndugu yangu.Mimi kijana kabisa na wala sina ata mtoto wa kusingiziwa kwani baado niko shuleni na ni moja kati ya watu wenye kuamiani kuwa shule kwanza na mengine baadaye.
5.Yaishe yote hayo unayotukana na pengine waombe msamaha hao wanyakyusa,ila hao watu sio mimi na narudia tena hao watu sio mimi na mimi hakuna forum nyingine zaidi ya hii jf,pengine ni majina tu..
6.Pole sana mkuu,naona umemshushia mistari mzee wa watu ambaye pengine ata humu kwenye jf hayumo.
Wewe humjui FMES? anamjua kila mtu, kuanzia Kuhani, Fundi Mchundo mpaka Bluray.
Jamaa anakaa chini na kukupachika personality ya mtu yeyote anayemuota, then anakuandikia a lengthy profile mpaka utacheka. Kashakuja na story kwamba Fundi alimkimbia kimada katika ajali ya gari, Kuhani kaonekana kwenye basement DC, halafu akajisahau, akarudia story hiyo hiyo kwa Bluray.
Huyo ndiye FMES, ana force personality yoyote anayotaka.
Halafu haya mambo ya kuandika vitu personally identifiable ni against the rules hapa JF.
Wewe humjui FMES? anamjua kila mtu, kuanzia Kuhani, Fundi Mchundo mpaka Bluray.
Jamaa anakaa chini na kukupachika personality ya mtu yeyote anayemuota, then anakuandikia a lengthy profile mpaka utacheka. Kashakuja na story kwamba Fundi alimkimbia kimada katika ajali ya gari, Kuhani kaonekana kwenye basement DC, halafu akajisahau, akarudia story hiyo hiyo kwa Bluray.
Huyo ndiye FMES, ana force personality yoyote anayotaka.
Halafu haya mambo ya kuandika vitu personally identifiable ni against the rules hapa JF.
Na wewe ulimbaka housegirl wenu ukamjaza na mimba halafu ukampa hela akaenda kuitoa. Ulitumia jina la mzee wako ambaye ni kigogo wa CCM kukwepa kuswekwa jela. Nakujua sana wewe.
Na wewe ulimbaka housegirl wenu ukamjaza na mimba halafu ukampa hela akaenda kuitoa. Ulitumia jina la mzee wako ambaye ni kigogo wa CCM kukwepa kuswekwa jela. Nakujua sana wewe.
Wewe humjui FMES? anamjua kila mtu, kuanzia Kuhani, Fundi Mchundo mpaka Bluray.
Jamaa anakaa chini na kukupachika personality ya mtu yeyote anayemuota, then anakuandikia a lengthy profile mpaka utacheka. Kashakuja na story kwamba Fundi alimkimbia kimada katika ajali ya gari, Kuhani kaonekana kwenye basement DC, halafu akajisahau, akarudia story hiyo hiyo kwa Bluray.
Huyo ndiye FMES, ana force personality yoyote anayotaka.
Halafu haya mambo ya kuandika vitu personally identifiable ni against the rules hapa JF.
kwi kwi kwi kwi kwi kwi.............Mkuu Kiranga.....usinivunje mbavu zangu........kwi kwi kwi kwi.........duuh what a morning!
- Huruma tupu, wewe mbona unajali wazazi wako lakini unataka kumpoteza mwenzako, usinichokoze mkuu maana itakuwa aibu hapa you know better!
FMEs!
- Mkuu Ogah hata wewe tena, mbona huruma zaidi I mean nianzie wapi!
FMEs!
Wewe humjui FMES? anamjua kila mtu, kuanzia Kuhani, Fundi Mchundo mpaka Bluray.
Jamaa anakaa chini na kukupachika personality ya mtu yeyote anayemuota, then anakuandikia a lengthy profile mpaka utacheka. Kashakuja na story kwamba Fundi alimkimbia kimada katika ajali ya gari, Kuhani kaonekana kwenye basement DC, halafu akajisahau, akarudia story hiyo hiyo kwa Bluray.
Huyo ndiye FMES, ana force personality yoyote anayotaka.
Halafu haya mambo ya kuandika vitu personally identifiable ni against the rules hapa JF.
Hahahaha,
Mkuu you are hilarious, just hilarious.
I tell you siku nikiwa bored FMES akiwa JF hakosi vituko.
hamna cha huruma wala nini........anza tu Mkuu haina shida..........
Sikuwa najua hilo !!!
- Kwa kawaida huwa ninakuheshimu sana mkuu, ila after this sijui itakuwaje mkuu! Lakini ninashukuru kwamba umenionyesha mapema kabla hatujafika mbali.
FMEs!
Usipomheshimu atapungua nini mazee? nninadhani utakapoendelea kumheshimu nawe utahashimika.
- Nimekusikia sana mkuu loud and clear, ila umeamua mwenyewe kuvunja heshima, sio mimi! Na sina noma!
FMEs!