Hakuna kitu rahisi Kama kuacha pombe.Tupeane mambinu, maana hili ni azimio langu la kila mwaka, na limekuwa likinishinda
Binafsi sijanywa tangu tarehe1 washkaji wananiuliza vp lkn mimi nawaambia nimempuzika kidogo.. kujiitangaza unaacha ni umejiroga.POMBE HAIPANIWI KUACHWA KWA STYLE HII😂
Always nanywea home, spending bar sifanyi , nachoma nyama zangu home, najiburudishaHakuna kitu rahisi Kama kuacha pombe.
Kwanza kabisa waepuke unaokunywa nao.
Kua karibu na waif, ukitoka jioni mpitie halafu break ya kwanza home. (Utapewa mzigo mpaka utajiuliza kwa michepuko nafuataga Nini)
Fanya hivyo mwezi mzima wa January.
Ukishindwa kabisa nywea BEER nyumbani mbele ya watoto wako. Siku tatu nyingi
Nakutakia mafanikio katika mkakati huo mkuu! Mungu akusaidie utimize adhima hiyo! Ingawa shetani naye atakuwa busy kukushambulia ili ukwame!Habari wakuu,
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi, Serengeti Lite, Konyagi, Kvant Black & White na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10. Sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol! Mimi na maji, soda & juice
Ukishatangaza yaan kuacha utaisikia wewe usimwambie yeyote .Baki kimya Tu wala usiongelee pombe au kuwaponda walevi utarudi Kwa speed ya mwanga be care don't tell anybodymkuu naendelea kuishi nao lakini bar na maeneo ya kunywa pombe siendi
mapinduzi day tu,,lengo limevunjwaUkishatangaza yaan kuacha utaisikia wewe usimwambie yeyote .Baki kimya Tu wala usiongelee pombe au kuwaponda walevi utarudi Kwa speed ya mwanga be care don't tell anybody
kuchanja ndio mambo gani tena hayoKaribu kwenye kuchanja..buku tano yako tu.pakti moja,big G zako,chipa ya maji,na maziwa fresh.. baada ya kazi..unajumuika na washkaji mpaka saa tatu-nne.. story kibao kucheck mpira,mwenye kuchart na simu sawa..ukimaliza zako unasukutua unapiga maziwa yako fresh unasepa home..kwenye vijiwe vya kuchanja hakuna kupeana round wala offer offer..niwewe namazaga yako ukimaliza unasepa zako.hakunaga ugomvi wala makelele wala mademu.
Mkuu Mungu akiwa anakuona, hebu tuambie sasa hadi leo tar 13/1/2022 hujanywa bia hata moja?Habari wakuu,
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi, Serengeti Lite, Konyagi, Kvant Black & White na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10. Sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol! Mimi na maji, soda & juice
Unachokitafuta ni kujipiga bomu la machozi nyumbani kwako..Hakuna kitu rahisi Kama kuacha pombe.
Kwanza kabisa waepuke unaokunywa nao.
Kua karibu na waif, ukitoka jioni mpitie halafu break ya kwanza home. (Utapewa mzigo mpaka utajiuliza kwa michepuko nafuataga Nini)
Fanya hivyo mwezi mzima wa January.
Ukishindwa kabisa nywea BEER nyumbani mbele ya watoto wako. Siku tatu nyingi
Mara zote Huwa nasema pombe sio tatizo ila tatizo ni mtu mwenyew.....Habari wakuu,
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi, Serengeti Lite, Konyagi, Kvant Black & White na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10. Sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol! Mimi na maji, soda & juice
Ukiacha pombe utainjoi sana game bedroom, kwanza nguvu nyingi lkn pia humkwazi mwenzio kwa harufu ya pombe. Vile vile mnakua na uwezo wa kuambiana maneno matamu matamu wakati wa game.Ndipo uchawi na unafki unapoanziaga. Uache kunywa bia, unywe nini!?
hii ndio imekuwa mbadala sasaUsisahau kuacha michepuko pia
[emoji23],Sasa Mkuu uache pombe ufanye nini? Uvute bangi?
Kila la kheri ukiacha upige mbili za kujipongeza kuacha
BIA TAMU.
Lazima apate kitu cha kuziba huo muda wa kupiga vyombo.bia tamu ,asikwambie mtu,ss ukiacha bia,si utahamia kwa dadapoa mkuu.ila kilalakheri mkuu!!
Tatizo kutafuna shavu limejaa kama mbuzi hiyo ilinptia kushoto kazi Sana duhKaribu kwenye kuchanja..buku tano yako tu.pakti moja,big G zako,chipa ya maji,na maziwa fresh.. baada ya kazi..unajumuika na washkaji mpaka saa tatu-nne.. story kibao kucheck mpira,mwenye kuchart na simu sawa..ukimaliza zako unasukutua unapiga maziwa yako fresh unasepa home..kwenye vijiwe vya kuchanja hakuna kupeana round wala offer offer..niwewe namazaga yako ukimaliza unasepa zako.hakunaga ugomvi wala makelele wala mademu.
Hongera kwa maamuzi haya.Habari wakuu,
Ninamaliza mwaka kwa hali ya juu kabisa nikiwa na furaha na vijipesa angalau vya kula na kunywa ninachokitaka!
Kama kawaida 2021 ulikuwa mwaka wenye changamoto zake lakini kwa asilimia 85 naweza kusema changamoto zote hizo chanzo chake ni ulevi, Serengeti Lite, Konyagi, Kvant Black & White na pombe nyingine nyingi zilitawala 2021
Leo tarehe 31 December ndio siku ya mwisho kabisa kunywa pombe maishani mwangu kwani nimeitumikia kwa zaidi ya miaka 10. Sasa pombe na mimi basi
2022 no alcohol! Mimi na maji, soda & juice