Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?

Malengo hasa ya kuzaa watoto wengi ni nini?

Masikini wengi hatupo buzy tumeridika na maisha , Hivyo tunatumia muda Mwingi kufanya tendo la ndoa kwaajili ya kujifariji.
Faraja yetu ipo kwenye tendo la ndoa mimba nyingi zinakuja bila mipango.

Dini
Mafundisho ya imani yanatusisitiza tuzae tukaongezeke
Tukiamini watoto ni Baraka kila mtoto anakuja na Baraka zake.

Utegemezi
Ninazaa watoto wengi nikitegemea watasaidiana na kushirikiana kwa pamoja kupambana na na maisha.

Umani na kujifariji Nitazaa mtoto ambaye atakuja kuwa Rais au waziri mkuu, waziri nk.

N:B MASIKINI TUNAPEANA UJAUZITO BILW MIPANGO MIMBA INATOKEA FROM NO WHERE.
 
Zaa kadili ya uwezo wako nikimaanisha kama unauwezo wa kuwatunza watoto 20(kuwapa mahitaji yao ipasavyo) zaa tu hamna namna..

Kwa sasa mwenye karata nyingi ndiye mwenye nafasi ya kushinda

Ukiwa na watoto wengi hutokosa wa kukustill kwa namna yoyote ile.
Na piga uwa garagaza wa kutoboa wapo..
Ila mkuu mbona matajiri ndo wenye watoto wachache.
 
Mimi nataka nifikishe watoto kumi kila mtu namamaake ndo nioe na hasaivi nipo kwenye wa tano sema kuna uyu mwanamke alienizalia mapacha keshatibua kaongeza idadi kwaspidi mno na watoto wote wawe mikoa tofauti na hawa nilozaa nao maskini ana grocery staki habari zakupelekana ustawi wa jamii
Jenerali naona unasia mbegu kama mchicha,😃😃😃
 
Masikini wengi hatupo buzy tumeridika na maisha , Hivyo tunatumia muda Mwingi kufanya tendo la ndoa kwaajili ya kujifariji.
Faraja yetu ipo kwenye tendo la ndoa mimba nyingi zinakuja bila mipango.

Dini
Mafundisho ya imani yanatusisitiza tuzae tukaongezeke
Tukiamini watoto ni Baraka kila mtoto anakuja na Baraka zake.

Utegemezi
Ninazaa watoto wengi nikitegemea watasaidiana na kushirikiana kwa pamoja kupambana na na maisha.

Umani na kujifariji Nitazaa mtoto ambaye atakuja kuwa Rais au waziri mkuu, waziri nk.

N:B MASIKINI TUNAPEANA UJAUZITO BILW MIPANGO MIMBA INATOKEA FROM NO WHERE.
Kuna jamaa alikuwa anahojiwa BBC yule mfupi ana watoto sita ,eti anaomba asije kuzaa mwingine kwamba hajui 😂😂jinsi ya kuzuia kuzaa!?

Anasema maisha yalimpiga na kulelea familia mpaka akataka kujiua.
 
Kwa maisha ya sasa sioni kama kuna tija ya kuzaa watoto wengi ni bora watoto wachache ambao utaweza kuwapatia mahitaji yao ya msingi, chakula, malazi, mavazi, furaha na elimu bora.

Mbaya zaidi unakuta mtu ana watoto wengi ambapo yeye anateseka na watoto pia wanateseka kwa kukosa mahitaji yao msingi.

Unakuta mstaafu ana watoto watu wazima na familia zao ila bado yeye anaendelea kuzaa tu.

Ushauri zaa kiasi upate muda na fedha za wewe kujinafasi na mkeo.
Pole kwa ufinyu wa fikra!!


Hao binadamu unaowaona muumba Alisha program sura zao kabla hawajazaliwa yaani hata kabla Dunia haijaumbwa alishapanga watakuwepo!!

Kwahiyo idadi ya watoto utakayobana watazaliwa kwingine wewe usipotaka!na Kama umepangiwa watoto wawili tu bas hata ufanyaje watakuwa ni hao tu!!

Wewe zaa kwa kadri ya nguvu zako na andaa makazi na chakula tu Cha kuwalisha,swala la elimu litategemea na vipawa walivyopewa na mwenyezi aliyewaumba coz sio Kila mtu kaumbwa apate degree,diploma, Cheti Fulani,wengine Wana vipaji vyao fulani ndio vitakavyowalisha na KUJULIKANA kwao!!

Wewe zaa mkuu!!kwa kadri ya uwezo wa mkeo katika uzazi!!
 
Back
Top Bottom