CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Ila mkuu mbona matajiri ndo wenye watoto wachache.Zaa kadili ya uwezo wako nikimaanisha kama unauwezo wa kuwatunza watoto 20(kuwapa mahitaji yao ipasavyo) zaa tu hamna namna..
Kwa sasa mwenye karata nyingi ndiye mwenye nafasi ya kushinda
Ukiwa na watoto wengi hutokosa wa kukustill kwa namna yoyote ile.
Na piga uwa garagaza wa kutoboa wapo..
Jenerali naona unasia mbegu kama mchicha,πππMimi nataka nifikishe watoto kumi kila mtu namamaake ndo nioe na hasaivi nipo kwenye wa tano sema kuna uyu mwanamke alienizalia mapacha keshatibua kaongeza idadi kwaspidi mno na watoto wote wawe mikoa tofauti na hawa nilozaa nao maskini ana grocery staki habari zakupelekana ustawi wa jamii
ππBinafsi naona kabisa kuzaa watoto wachache unaweka nafasi kubwa ya watoto kubweteka na kusubiri wazazi mfe kisha warithi mali
Lakini ukiwa nao wengi watapambana maana wanajua kilichopo hakiwatoshi
Nalo neno hili, Ila wakiwa wengi si ndo watauwana ili wabaki wachache warithi hizo maliBinafsi naona kabisa kuzaa watoto wachache unaweka nafasi kubwa ya watoto kubweteka na kusubiri wazazi mfe kisha warithi mali
Lakini ukiwa nao wengi watapambana maana wanajua kilichopo hakiwatoshi
Umeshaanza au utaanza?Kuna watu tunapenda watoto
Hivyo mimi nitazaa watoto kiwango kidogo sanaa labda watoto 11
Kuna jamaa alikuwa anahojiwa BBC yule mfupi ana watoto sita ,eti anaomba asije kuzaa mwingine kwamba hajui ππjinsi ya kuzuia kuzaa!?Masikini wengi hatupo buzy tumeridika na maisha , Hivyo tunatumia muda Mwingi kufanya tendo la ndoa kwaajili ya kujifariji.
Faraja yetu ipo kwenye tendo la ndoa mimba nyingi zinakuja bila mipango.
Dini
Mafundisho ya imani yanatusisitiza tuzae tukaongezeke
Tukiamini watoto ni Baraka kila mtoto anakuja na Baraka zake.
Utegemezi
Ninazaa watoto wengi nikitegemea watasaidiana na kushirikiana kwa pamoja kupambana na na maisha.
Umani na kujifariji Nitazaa mtoto ambaye atakuja kuwa Rais au waziri mkuu, waziri nk.
N:B MASIKINI TUNAPEANA UJAUZITO BILW MIPANGO MIMBA INATOKEA FROM NO WHERE.
Ninashangaa munapoandika hivi wakati ni nyinyi vijana ndiyo munaosema wazee wajishughulikie wenyewe kwani nyinyi munakuwa na majukumu mengi.watoto wakusaidie ukizeeka
ndivyo wanavyosema
Pole kwa ufinyu wa fikra!!Kwa maisha ya sasa sioni kama kuna tija ya kuzaa watoto wengi ni bora watoto wachache ambao utaweza kuwapatia mahitaji yao ya msingi, chakula, malazi, mavazi, furaha na elimu bora.
Mbaya zaidi unakuta mtu ana watoto wengi ambapo yeye anateseka na watoto pia wanateseka kwa kukosa mahitaji yao msingi.
Unakuta mstaafu ana watoto watu wazima na familia zao ila bado yeye anaendelea kuzaa tu.
Ushauri zaa kiasi upate muda na fedha za wewe kujinafasi na mkeo.
mie mmoja tu ananitosha, nikigegeda ni mwendo wa kumwaga nje, sitaki mwingineNinashangaa munapoandika hivi wakati ni nyinyi vijana ndiyo munaosema wazee wajishughulikie wenyewe kwani nyinyi munakuwa na majukumu mengi.
NitaanzaUmeshaanza au utaanza?
Siku huyo mtoto akikuvuruga utachanganyikiwa na kuanza kumlaani tu
Na hilo jina lako mkuu unataka utuletee balaa ulimwenguni we hata usizae kabisa...π
wale wanapewa masharti na majini π€£Matajiri pesa zisizohesabika ila unakuta ana mtoto mmoja au wawili tu
Hatutaki mkuu Baki na kizazi chakoHamtaki mletewe Kizazi cha Mr misukosuko π€£π
Anza mapema ili uwape space...la sivyo mwaka mtoto...mwaka mtoto...utachakaa mnooNitaanza
Nilimuona, Sasa ile ni matesoKuna jamaa alikuwa anahojiwa BBC yule mfupi ana watoto sita ,eti anaomba asije kuzaa mwingine kwamba hajui ππjinsi ya kuzuia kuzaa!?
Anasema maisha yalimpiga na kulelea familia mpaka akataka kujiua.
Mbona kuchakaa.Anza mapema ili uwape space...la sivyo mwaka mtoto...mwaka mtoto...utachakaa mnoo