Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenTuna maliza mwaka bado siku chache ila binadamu wote hatufanani.
kuna wale waliopata na wale waliopoteza.
Mimi na shukuru kupata kikubwa kuwa mzima wa afya na misukosuko kama magonjwa na ajali.
Japo tunasota maisha
Say ameenHuu ni mwaka ambao nimepata mtoto.
But huu ni mwaka nimepoteza millions
Huu ni mwaka nimesusurika kufa august, all in all bado nahema, napambana namshukuru mungu[emoji7]
How old are you ???mimi nimepata mtoto wa kiume na umri umekwenda.
Hongera,,,, na ndoa yako ikawe ya kheriNi mwaka ulionipatia ndoa na mtoto
Hongera mkuu,,,,,keep chasing the dreamThis year I made a lot nimeanza MBA,nimejitambulisha ukweni,my 2 years kid went to school,nimejenga nyumba ya wazazi Ila Bado finishing which nitamaliza Feb 2023 and I'm expecting a new kid Jan 2023 almighty God please,I need you to accomplish more 2023 ...team elimu!!
.
Pole kwa yote mkuu,,, Bt Mungu Ni mwema uko na afyaNimepoteza baba angu (RIP)
Nimepoteza millions
Nimempoteza mpenzi [emoji28][emoji28]
Huu mwaka na uishe tuu
Nimepata madeni,
Kikubwa uhai tunajaribu tena 2023
Hongera Sananmepata mtoto wakike
Nmepoteza millions
Ila namshukuru mungu Niko Salama na afya njema
Tuombeane kheri inshallahnilijipoteza huu mwaka inshallah 2023 ni mwaka wa akujitafuta
Much congratulationsI made millions na nashukuru I've made this year successful without any kid. [emoji2960]
AmenSay ameen
Keep chasing the dream dude,,,umri unaruhusu,,,, pole kwa msibaNimempoteza baba angu
Mwak mzma sjanunua hat boxer mpya
Bado nakaa kwetu 24+
Mtoto mmoja nimesusiwa na mama ake
Mafanikio ni KUJIUNGA JF[emoji120][emoji120]
Kusoma uzi kama
Kula tunda kimasihara
Wazee wa mikeka
Ameen🙏🏽Hongera,,,, na ndoa yako ikawe ya kheri
Pole[emoji3064]Nimepoteza baba angu (RIP)
Nimepoteza millions
Nimempoteza mpenzi [emoji28][emoji28]
Huu mwaka na uishe tuu
Nimepata madeni,
Kikubwa uhai tunajaribu tena 2023
sio rahisi hivyo ERonMapambano yaendelee, kuanguka ni sehemu ya maisha yetu. Kazi ni kunyanyuka tena na kuzidi kupambana
Endelea kulipambania,,, japo kwa 2023 ulifanikishe !Nilitamani kutimiza mambo 3 nimekamilisha 2 moja nimeshindwa, ila ilikua nje ya uwezo wangu.