Malengo yangu mwaka 2021 ni kuacha pombe, umalaya na ku-bet

Namba 2 linanitesa sana kila nikkualibu kuach a n a shndwa
You cannot solve problems by the same approach and mindset you used to create them in the first place. ~ Albert Einstein

There is almost nothing that a right-minded individual with determination and purpose cannot achieve under the sun!
 
Mi nakushauri usiache chochote hapo bali ufanye kwa kiasi. kila kimoja hapo kinakamilisha maisha. la utajikuta unajizuia kitu hadi ni kama unajiandaa kuishi tena baada kutoishi huku. anza kunywa kwa kias hasa kwako na uache kunywa kikampan vya leta kama tulivyo. pili fanya ngono kwa kias. kwamba mhusika amekuvutia na si tu ukojoe. tatu beti mpira tu.

Usikose kubet jackpots za 100 au 1000 na ujue utafidia wapi hicho kias kidogo kama kuhairisha bia 1 tu, au bet mechi 1 tu odd ya uhakika tia kamzigo kakubwa hutajuta sana hata kama utapata kidogo. ni biashara hiyo, ni utafutaji. ila kamwe usioe ili upate k ya uhakika, utaikinai. oa rafiki yako unayemwitaji nje ya kitandan. LIVE RESPONSIBLY! {Life has got only one formula, which t is; NO FORMULA}
 
In this world, there people who are, as it were, especially designed to simply wake up, walk-on and work mutedly; expect almost an irrevocable poignancy every time they open up their seemingly innocent mouth to utter anything.
 
Hivi umalaya unaachwa kirahisirahisi hivi?.....ucfanye hivo bana. Endelea kupiga mashine kiongozi aka kusukuma kizazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…