Malezi: Mambo 20 ambayo hutakiwi kumwambia mtoto wako

Malezi: Mambo 20 ambayo hutakiwi kumwambia mtoto wako

Asilimia kubwa ya uliyosema hapo hayafanyi kazi huku Africa. Home tulipigwa sana na wazazi, ila now tunaishi vizuri na tumenyooka.

Hizo rules zinafanya kazi ulaya na america huko.
kabisa
 
Kwahiyo mtoto wako unamruhusu aongee na watu asiowajua? Kuna matukio mengi sana ya watoto kutekwa, kubakwa na kulawitiwa kua makini jamaa.
Hapo Mimi nimeshangaa Sana, jamaa amecopy na kupaste bila kuangalia uhalisia.
 
Back
Top Bottom