TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 5,771
- 17,849
Yaani serikali ikithubutu kufanya hivi na watu siku hizi wanavyopenda kupiga kavu, ndani ya miaka miwili population ya Tanzania itaipiku China.Serekali kunusuru hiki kizazi nashauri wasitishe matumizi ya P2 katika Taifa letu hii ndio njia mbadala ili turudi kwenye uadilifu