Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
- Thread starter
- #61
.........Hapo sasa Mbu mzazi ni mzazi, mie nilishuhudia dadangu alipoolewa, mamake alikuwa Mgeni rasmi haswaaa tena mgeni rasmi asiyecheka wala kutabasamu!! nilimwelewa kwani nafsi ilikuwa inamsuta maana yeye alimkimbia (wakimia maana walikuwa watatu) akenda kwa mwenye pesa (ndivyo tulivyoambiwaga). But kuna ile ya mmama amenyang'anywa watoto wakingali wachanga...huyo ukisema umzuie kushiriki kwenye shughuli ya mtoto wake utakuwa unamuonea kupita kiasi! Maana sometimes bana inabidi mtu uchunguze authenticity ya 'stori' ulopewa.
Kuna mkaka mmoja alilelewa na Baba wa Kambo!! iakaambiwa kuwa Babake alikwendaoa mzungu akamtelekeza mama mtu huko Unyakyusani. Wakati wa arusi kijana kakomaa anamtaka babake aje arusini, watu wakamwambia ni haki yake, wakaafiki.........ikaanza saka baba yangu, saka baba yangu, Mbeya hayupo, Dar hayupo.........akaenda Arusha akampata!, kumbe ni Babake Mkubwa!! Yaani Mama alizaa na shemeji mkubwa na ndo ikawa chanzo cha talaka!
...lol...astaghafirullah,....hhhahhahaa, hebu nikalale mie, wewe ushaanza hadithi zitazoniletea ndoto mbaya leo.
Baba mkubwa na u step dada wapi na wapi? ha hahhahah...haya bana.
Hiyo kesi hata kwenye malezi ni utata mtupu!