Husninyo yaani inashangaza sana kusema ukweli. Ila mie nilipataga experience ya ajabu sana but nadhani baadae nilikuja kuelewa kuwa inawezekana inatokana na uwoga ulioathiriwa na hizi hisia. My Ex had a baby way long , na hata tulipokutana alikuwa anaogopa kusema but after knowning ikaanza safari ndefu ya kumshawishi amchukue (she was living na bibiake mzaa mama kijijii since her mum was married na anaishi nje ya nchi)....It wasnt easy kumconvince so mwisho tukakubaliana ampeleke Boarding........... uamuzi ambao nlikujaujutia. But am glad kwa mchango nlotoa.