BlackBerry
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,839
- 958
Na ile ya kichina je, ambayo unaangalia age ya mke na siku za kukutana kuna wifi yangu katumia kupata watoto wake kwa jinsia anayotaka, umeshaisikia?Mbu hongera sana.........kuna mdada mmoja jamani nilikutana naye some kama nakumbuka vizuri mwezi June mwishoni. She said kuwa anatoa njia ya namna ya kupata mtoto umtakaye na hiyo formula yake ilishatestiwa KCMC kama sikosei na ikaprove 98%. Alinipaga namba yake nafikiri.
BB hapana mydia sijaisikia hiyo hebu nambie ikoje?Na ile ya kichina je, ambayo unaangalia age ya mke na siku za kukutana kuna wifi yangu katumia kupata watoto wake kwa jinsia anayotaka, umeshaisikia?
<br />Husninyo yaani inashangaza sana kusema ukweli. Ila mie nilipataga experience ya ajabu sana but nadhani baadae nilikuja kuelewa kuwa inawezekana inatokana na uwoga ulioathiriwa na hizi hisia. My Ex had a baby way long , na hata tulipokutana alikuwa anaogopa kusema but after knowning ikaanza safari ndefu ya kumshawishi amchukue (she was living na bibiake mzaa mama kijijii since her mum was married na anaishi nje ya nchi)....It wasnt easy kumconvince so mwisho tukakubaliana ampeleke Boarding........... uamuzi ambao nlikujaujutia. But am glad kwa mchango nlotoa.