Huyo ana Ulimbukeni na ujinga anadhania mtoto ni mdoli unaweza chezea unavyotaka.kuna mmoja alibeba ujauzito akitamani kupata mtoto wa kike, akaja jifungua wa kiume, basi akawa na mchezo wa kumvisha nguo za kike, anampaka wanja anamvalisha magauni siku naenda namkuta na hiyo hali nikamwambia tu unamfundisha mtoto kuikataa jinsia yake mapema sana, na hizo tabia za kishoga ndio hua zingine zinaanza kwa style hio shukuru hicho ulichoruzukiwa ndicho unacho stahiki
Suala hapa nafikiri ni namna pande zote mbili zinavyoweza kushiriki vyema kwenye kulea na kutunza watoto....Hawa single mothers wanaweza kuwa na madhaifu yao lakini haipaswi kusahau kuwa hawakujizalisha wenyewe. Kuna kundi kubwa pia la wanaume wameyaacha majukumu yao tena wengine kwa makusudi kwa kulinda ndoa zao au tu kutokuwa tayari kuyavaa majukumu ya kuwa "Baba" wakiamini ipo siku "mbegu" zao zitawatafuta
Pia hawa single mothers bado wana makaka na baba zao ambao wote walifaa kuwa na jukumu la kuwa male figures kwa ndugu yao. Wanaposhindwa au kuacha kuwa, nani wa kulaumiwa
Hata hao watoto wanapokuja kuharibikiwa huwa wanaharibiwa na wanaume kama mimi au wewe. Kwa hiyo wanaume hatuwezi kuepuka lawama ya hili suala
msiwatumie kama scapegoats, we are not dead wakati haya yakitendeka, tunatazama na tunashiriki kulikuza aidha directly au indirectly
Tatizo jingine ni kuwa ata wajombo na baba wadogo na wakubwa wa siku hizo hawaaminikiZaman hata ukilelewa na mama tu,wajomba na baba wadogo na wakubwa wanakuwa wapo karibu na wew tena wengine walikuwa wanawaomba wanaenda kuishi kwa mjomba au baba mdogo
Ila maisha ya siku hz kila mtu anapambana kivyake,
Kitendo cha yeye kukudanganya kua mtoto alipakwa rangi na watoto wenzie kina ashiria kua alikua anatambua kua lile ni kosa ila alifanya kwa utashi wake tu.Nilichokifanya nilimkemea kwa ukali kuhusu kitendo husika kwasababu alinidanganya kuwa mtoto alipakwa rangi na watoto wenzie angali ni yeye kafanya hivyo....
sikurudi tena na wala sjamtaftaHuyo ana Ulimbukeni na ujinga anadhania mtoto ni mdoli unaweza chezea unavyotaka.
Eenh kwaiyo baada ya kumwambia ikaweje?
Aisee!? Ungekaa nae karibu umsaidie kuondoa huo ujinga uliotawa akili yakesikurudi tena na wala sjamtafta
Kwa hiyo mkuu kutoleta mademu geto ni dalili ya ushoga? toa ufafanuzi.Kuna jamaa alipanga nyumba ninayopanga, pale tuko wanachuo tu kwahiyo tabia hazina tofauti sana. Yeye sasa miezi yake kama minne ya kukaa pale hajawahi kuleta demu, kuongea nae hata kwa simu, kuonesha dalili zozote za kuwa na encounter na mwanamke. Yani wengine tunavusha, usiku tunakaa nje tupunge upepo tuongeale nao, wanatutembelea, ukikaa kidogo unasikia huyu analalamika demu fulani kamfanyaje sijui.
Sasa huyo jamaa yuko busy na wanaume mara wako kwenye photoshoot ya kuvaa suti, mara wamevaa manguo ya kung'aa, nywele katia dawa za kulainisha kama Wahindi. Mimi nina wasiwasi nae na kwa sasa kahamia Sinza kwetu kahama.
Alafu wazazi wanashindwa vipi kuwatambua mbona dalili zinakuwepo. Kuna mmoja nilikuwa naye A level huyo anachonga nyusi na anapaka wanja, ana yale mafuta ya kulainisha na kung'arisha lips. Sasa huyu mzazi wake haoni?
Kuna dogo mwingine O level yeye alikuwa anakaa na wadada pekee. Anajilainisha kwenye kuongea na movements alafu ni "designer" na anapamba mademu wakijiandaa na zile sherehe za shule. Yani asipokuwepo wanalalamika wanaona hawatopendeza wakati dogo mwenyewe alikuwa form 2. Huyu anageuzwa tangu darasa la sita alikosomea uko shule maarufu Mwanza. Sasa wazazi wake hawakuona hobbies za mtoto na lifestyle yake?
Kuna lecturer flani Dodoma nilimsaidia kitu kwenye kuongea nae akanambia nafanana na mwanae. Akanambia ana watoto wanne wote wa kiume, huyo wa mwisho ninaefanana nae walijua ni wa kike wakampa na jina kabla. Akazaliwa wa kiume ila "bahati nzuri lile jina linatumika hata kwa mtoto wa kiume". Alafu akanambia anacheka eti ana tabia chache za kike.
Mzazi unamuita mtoto wa kiume Gift na wahuni wanamuita "Gee"
Wewe unabeba mademu wa mtaani ambao huwajui lazima wawe vibaka. Mimi nasema kwa sisi wanachuo mademu tani kama ngapi unasoma nao alafu mwanaume mwenye afya na mkamilifu unakosa kuwa dhaifu walau mara moja moja?Kwa hiyo mkuu kutoleta mademu geto ni dalili ya ushoga? toa ufafanuzi.
Maana hata mm huwa naona ukakasi sana kupeleka mademu kwenye geto langu tangu niibiwe huwa namalizana nao kitaani huko huko.
Kipindi cha nyuma nilisha vusha demu mmoja usiku tukafanya yetu asubuhi akasepa na mm nikaenda mishe.
Kurudi mida ya saa 2 za usiku sikuamini nilicho kikuta geto lilikuwa limevunjwa na kukomba kila kitu.
Kuja kupeleleza kumbe yule demu ni mafia ana kundi la wahuni.
Na ndio tabia yake kwenda kwenye mageto ya watu kusoma ramani na vitu vilivyomo geto alafu anaenda kukuchoma kwa wahuni wana kuja kukufanyizia.
Yaan yule demu siku nikija kumkamata ama zangu ama zake jinga sana.
Mkuu uliyoyasema ni kweli ila nilicho pingana na wewe ni kuhusu kupeleka mademu geto.Wewe unabeba mademu wa mtaani ambao huwajui lazima wawe vibaka. Mimi nasema kwa sisi wanachuo mademu tani kama ngapi unasoma nao alafu mwanaume mwenye afya na mkamilifu unakosa kuwa dhaifu walau mara moja moja?
Mtu pekee ninayeweza kuamini anajiepusha na hili ni mtumishi sana au sheikh mshika dini ila sisi wengine lazima tu uwe na mtu. Sasa huyo jamaa sio tu hana demu, bali hata haongei nao. Hata ukute anaongea mambo ya siri kwa kujificha utasikia tone na maneno anayotumia sio ya kuongea na mwanamke.
Ukishaona una mwanao au mdogo wako yuko chuo na hana dalili zozote za girlfriend kuwa makini nae
Wengine ni nunda hawashauriwagi na hawasikiagi, ni. Kuwaacha kama walivyoMkuu ulichukua uamuzi gani wa kumuelimisha huyo binti kwa kumpaka rangi mwanae wa kiume?
Ungeanza na huyo kwanza coz alikua mbele yako.
Unamshauri tu halafu jukumu la kuchukua maamuzi linabaki kwake,hata kama hatasikia basi ipo siku atakumbuka tu ushauri aliyopewa.Wengine ni nunda hawashauriwagi na hawasikiagi, ni. Kuwaacha kama walivyo
Suala hapa nafikiri ni namna pande zote mbili zinavyoweza kushiriki vyema kwenye kulea na kutunza watoto....
Lakini kwasasa, nguvu inayotumika kuiaminisha jamii kuwa wanawake wanaweza kutekeleza majukumu yote, hii si sawa na ndio mwiba na chanzo cha uharibifu unaoanza kukita mizizi taratibu
Tatizo jingine ni kuwa ata wajombo na baba wadogo na wakubwa wa siku hizo hawaaminiki
Yan hapa napo inatakiwa paangaliwe kwa umakin sanaukisikia kesi za ulawiti ni wajomba, baba wadogo mara babu. Mbaya zaidi yanamalizika kifamilia huku hawa watu wakiendelea na uharibifu wao
Umesema ukwel kabsa kumuwesha mtoto wa kike wakamsahau mtoto wa kiume kuna effects nyingi sana sio kwenye malezi tu bali had kwenye ngazi ya familiaUmesema sawa mkuu
wanawake wanawezeshwa ila hakuna anaewawezesha watoto wa kiume ili waweze kuendana na hao wanawake waliowezeshwa. Mwisho wa siku tunakuwa na wanawake wa kisasa na wanaume wanaotaka wanawake traditional kama mama au bibi zao. Hapa lazma misuguano itokee
Wanaoumia sana sana ni watoto maana tunakuwa na kinamama wanaohisi wanaweza kulea pasipo wanaume na kinababa wasioona umuhimu wa mwanamke katika malezi ya watoto which is wrong
Baba anawafundisha watoto uhalisia wa maisha na jinsi ya kupambana nayo in a hard way. Anawapa financial security pamoja na ulinzi juu ya watu wabaya
Mama pia anawapa watoto emotional security and stability. Mama ndio anawafundisha watoto upendo na kujali
Hivi vyote ni muhimu kwa mtoto, kikikosekana kimoja itabidi mzazi anaebakia atafute namna ya kufit, kitu kwa maisha ya sasa ni ngumu sana
sana mkuuYan hapa napo inatakiwa paangaliwe kwa umakin sana