Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
hellow weekend
SIkuizi malezi yamekuwa mabaya sana sana sijui ni uzungu kipindi chetu nilikuwa naenda shule mwenyewe na narudi mwenyewe wakati uho nina miaka 6 na napajua nyumbani na najua majina ya wazazi wangu pia mtu maarufu pale mtaani najua
Sikuizi watoto wanaenda shule wanapelekwa na kurudishwa unakuta mtoto yupo la kwaza ila mtaa anaoishi hapajui wala mama yake hamjui jina wala sehemu maarufu kwa hapo mtaani hapajui (landmark)
Mwingine darasa la sita huwezi mtuma mtoto sokoni wala sehemu yoyote aende qewe upumzike badala yake wewe ndio unaenda umetoka kazini umechoka watoto wapo nyumban wamekaa tu ni malezi mabaya sana
Mfano juzi nilikuwa nimemtembelea my friend kufika home akawa amesahau kununua vitu vyake vya muhimu vya ndani akachoma mafuta kutoka kisongo mpaka majengo wakati amerudi kumuuliza kwanini usingemtuma mtoto ndio anasema hapajui mjini nikamuuliza atapajua lini? Mbna kama mnaendekeza uzungu
Inasikitisha sana
SIkuizi malezi yamekuwa mabaya sana sana sijui ni uzungu kipindi chetu nilikuwa naenda shule mwenyewe na narudi mwenyewe wakati uho nina miaka 6 na napajua nyumbani na najua majina ya wazazi wangu pia mtu maarufu pale mtaani najua
Sikuizi watoto wanaenda shule wanapelekwa na kurudishwa unakuta mtoto yupo la kwaza ila mtaa anaoishi hapajui wala mama yake hamjui jina wala sehemu maarufu kwa hapo mtaani hapajui (landmark)
Mwingine darasa la sita huwezi mtuma mtoto sokoni wala sehemu yoyote aende qewe upumzike badala yake wewe ndio unaenda umetoka kazini umechoka watoto wapo nyumban wamekaa tu ni malezi mabaya sana
Mfano juzi nilikuwa nimemtembelea my friend kufika home akawa amesahau kununua vitu vyake vya muhimu vya ndani akachoma mafuta kutoka kisongo mpaka majengo wakati amerudi kumuuliza kwanini usingemtuma mtoto ndio anasema hapajui mjini nikamuuliza atapajua lini? Mbna kama mnaendekeza uzungu
Inasikitisha sana