Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 589
- 1,897
Mi nimezaliwa Dar na Nimekua Dar, nimejipambania kutafuta kile Mungu amenijalia kilicho kidogo changu, Ila nafsini mwangu mi sitaki chochote Cha urithi iwe kwa Familia yangu niliozaliwa yaani kwa baba na Mama Yangu.
Ingawa sijawaeleza ndugu zangu.Kua sihitaji chochote.
Ikitokea wazazi wetu wamefariki nitawaeleza ndugu zangu.
Kuhusu mke pia vivyo hivyo, mke nilienae sihitaji Mali yake kwa chochote, ikitokea mke ametangulia mbele ya haki kilichopo nitawapa Familia yake Mali zote. Isipokua watoto tu ndo nitaomba nibaki nao.
Mali yoyote ambayo inahusisha kurithi Wala nafasi Yangu aivutiwi kua na hiyo Mali.
Baba Mama na Mke, Ni watu muhimu Ila nafsi Yangu tu haipendi vitu vya urithi.
Ingawa sijawaeleza ndugu zangu.Kua sihitaji chochote.
Ikitokea wazazi wetu wamefariki nitawaeleza ndugu zangu.
Kuhusu mke pia vivyo hivyo, mke nilienae sihitaji Mali yake kwa chochote, ikitokea mke ametangulia mbele ya haki kilichopo nitawapa Familia yake Mali zote. Isipokua watoto tu ndo nitaomba nibaki nao.
Mali yoyote ambayo inahusisha kurithi Wala nafasi Yangu aivutiwi kua na hiyo Mali.
Baba Mama na Mke, Ni watu muhimu Ila nafsi Yangu tu haipendi vitu vya urithi.