Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee umeeleza vizuri kabisa.Urithi ni haki ya kila mtoto ila sasa sio busara kudai au kukataa urithi. Ni sawa na kumsusia marehemu na mali zake.
Mtu halaimishwi kurithi mali ila sisi ni jamii tayari kuna kanuni zipo sio lazima kuzifuata ila ni muhimu kuzitambua.
Hapa unaweza ukawa na wazo a kutokuhitajisehemu ya urithi wako, ia kuna mazingra unaweza jikuta wewe ndio mtu unayeweza kusimamia na kuendeleza mali za marehemu, hapo ukikataa kurithi sio busara kabisa.
Fikiria wewe hapo sasa hiv mtoto wako anakuambia hahitaji mali yako yoyote, aise utafadhaika sana hasa ikiwa ni mtu ulikuwa unaamini ataendeleza ulichokianzisha.
Wahenga walisema, busara ni kukaa kimya. Usije ukasema hicho hadharani. Ikitokea watu wakagombea mali za marehemu sasa hapo wewe kaa kando n uwaambie umejivua lawama na mabalaa yajayo, na hili wajue na kufahamu.
Asante ndugu kwa ushauri mzuri SanaUrithi ni haki ya kila mtoto ila sasa sio busara kudai au kukataa urithi. Ni sawa na kumsusia marehemu na mali zake.
Mtu halaimishwi kurithi mali ila sisi ni jamii tayari kuna kanuni zipo sio lazima kuzifuata ila ni muhimu kuzitambua.
Hapa unaweza ukawa na wazo a kutokuhitajisehemu ya urithi wako, ia kuna mazingra unaweza jikuta wewe ndio mtu unayeweza kusimamia na kuendeleza mali za marehemu, hapo ukikataa kurithi sio busara kabisa.
Fikiria wewe hapo sasa hiv mtoto wako anakuambia hahitaji mali yako yoyote, aise utafadhaika sana hasa ikiwa ni mtu ulikuwa unaamini ataendeleza ulichokianzisha.
Wahenga walisema, busara ni kukaa kimya. Usije ukasema hicho hadharani. Ikitokea watu wakagombea mali za marehemu sasa hapo wewe kaa kando n uwaambie umejivua lawama na mabalaa yajayo, na hili wajue na kufahamu.
Karibu MkuuAsante ndugu kwa ushauri mzuri Sana