Malinyi, Morogoro: Joanfaith Kataraia atunukiwa ngao ya Ushindi kwa Kuongoza katika Ufaulu PSLE. Nini kipo nyuma ya mafanikio ya DED huyu?

wanaume wa morogoro aka mologolo wanaogopa kumtongoza. wanaogopa jela

ndugu zangu wapogoro sijui wanakwama wapi.

kutongoza sio kosa kisheria.
 
Joanfaith,

1. Sura nzuri βœ”οΈ

2. Elimu nzuri βœ”οΈ

3. Matokeo mazuri PSLE βœ”οΈ

4. Mchamungu mzuri βœ”οΈ

5. Mtu wa watu βœ”οΈ

Huyu anapashwa kupewa nafasi ya juu kwa maslahi ya Watanzania
6. Shepu nzuri
7. Mguu wa bia
Ccm hoyeeeee
 
😍😍
 
Wanawake tunaweza Sana tu, wale mliosemaga uteuzi wake ni wa mchongo vipi na haya matokeo ni ya mchongo? Dada mzuri na anaakili.
Hongereni Sana Wanawake viongozi wa Tanzania mkiongozwa na Mama Samia Suluhu Hassan😍😍
 
Joanfaith,

1. Sura nzuri βœ”οΈ

2. Elimu nzuri βœ”οΈ

3. Matokeo mazuri PSLE βœ”οΈ

4. Mchamungu mzuri βœ”οΈ

5. Mtu wa watu βœ”οΈ

Huyu anapashwa kupewa nafasi ya juu kwa maslahi ya Watanzania
😍😍khaaa, hii nchi ngumu Sana aise
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…