Mashabiki wa malinzi mnatapatapaHana elimu huyo.
TUJARIBU ?.Kama nnaona vle ushindi kwa Ally Mayai Tembele tujaribu kwake pia tuone ataifanyia nn TFF
Sio ukiwahaii mkuu ujajuaaAfrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
Hii thread aiyone GENTAMYCINE ... Safe place ya kuishi huyu fisadi Malinzi ni kuzimu.... Malinzi kamaliza kuliuwa soka la Tanzania....
Baba wa diva the bawse..Huyu Malinzi mtaani twamuona kibopa fulani kumbe anaiibia tu TFF! yale yale ya Escrow, EPA, IPTL .Na ndio maana soka letu haliendelei sababu ya watu kama hawa!
Yaani mwizi aruhusiwe kugombea urais TFF? NA pesa ya kurudia uchaguzi itoke wapi? Aende akavune alichopandaThis is bull shit man! Kama ana makosa no one denies makosa yake! But let the game flow! Agombee ashindwe! Or what is wrong kumshtaki akiwa ameshinda uchaguzi! Hizi personal issues katika mambo serious, are among other factors kwamba hili bara ni la giza! Sijawahi kumsurppot Malinzi katika uongozi wake especially issues za watu wa kabila lake pale TFF ila kwa hili nauona mkono wa mtu nyuma yake .[emoji53][emoji53][emoji53]
Mayai for change
Basi Ali Mayai Tembeleee
Au uulize Kitiliya Shose na sioyiKutakatisha fedha kuna dhamana? muulize pedeshee ndama mutoto ya ng'ombe
Hii ni vita ndugu ,Lazima utafutiwe timing ili ukipewa ya mbavu usiinuke.Wao walikuwa wanajidai na FIFA haitaki kuingiliwa na serikali
Malinzi afinywe sana analipa madhambi mengi alikuwa na kiburi sanaPoint zilikuwa za kagera maana ndio walioshinda kiwanjani na sio kufoji ripoti za waamuzi.
Malinzi afinywe sana analipa madhambi mengi alikuwa na kiburi sanaPoint zilikuwa za kagera maana ndio walioshinda kiwanjani na sio kufoji ripoti za waamuzi.
diva the bawse ataipata fresh kama watoto wa JR, acha kabisa...Baba wa diva the bawse..
Baba wa diva ni Dioniz Malinzi (kaka wa Jamali)Baba wa diva the bawse..
Baba wa diva ni Dioniz Malinzi (kaka wa Jamali)
Hao ni watuhumiwa tu kaka till proved guilty by the court of law... Les try to avoid prejudice...Yaani mwizi aruhusiwe kugombea urais TFF? NA pesa ya kurudia uchaguzi itoke wapi? Aende akavune alichopanda
Umegusa penyewe kaka, back fire itahusu hapo mbele ya safariHii kwa upande mwingine inamuaribia atakaye shinda. Watu watakuwa na chuki naye na kuonekana kama mfumo umembeba, amewekwa pale na watu na hakustahili.
Hasa mambo yatakapo kwenda mlama. Sioni Soka likisonga mbele baada ya uchaguzi itakuwa majungu tu.
Usimba Uyanga umezidi kwenye chama.