Raundering ndio nini?No. It is just a coincidence. Money raundering has never left a man safe.
Really there is something fishyAfrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
Rejea uchaguzi wa TLS hata Lisu aliundiwa zengwe kama hili,lakini akaruka kihunzi.Inawezekana mazingira ya kuutengeneza ushahidi yalikuwa muafaka wakati wa mchakato wa uchaguzi hivyo muda wote walikuwa wanaandaliwa trap, anyway kwamba wamekamatwa ktk wakati gani sio Issue in question kama makosa yapo.
Daaah !huyu Dogo ndo walichomfanyia?tifuatifua ya mali Za nzi [emoji51] [emoji51] [emoji51]Mleta mada, nani katakatisha fedha? Malinzi na Mwesigwa au Kaburu na Aveva?
Hatuelewi aise...
Ila Malinzi na wenzake kwa hili ya kumsahau kabisa huyu nahodha lazima pia washtakiwe kabisa..
haya tunaweza kujua kuyashuhudia hata kwenye chaguzi zetu za kisiasa.........Afrika kweli ni bara la giza, simtetei hata mmojawapo hapo, ila hayo makosa hayakuonekana wakati mwingine wowote isipokuwa sasa kwenye mchakato wa uchaguzi! Na ndo kusema wala hayadhaminiki kwamba hawawezi kuwa nje kwa dhamana! Kwamba wamekosa wadhamini au kujidhamini wenyewe!! Kweli 'dirty politics belongs in Africa!
haina jinsi inabidi upambane na hali yako ndugu ,hakuna anaependa yatokee hayaSio habari njema kwa wengine
Atapambana ajuavyohaina jinsi inabidi upambane na hali yako ndugu ,hakuna anaependa yatokee haya
Hivi na hao mnsosema matembele,haitokei siku1wakawa wapigaji?
Maana uchaguzi huu katika nafasi za uongozi, kila mtu katoa shipala shingo kuwania nafasi!
Iv kweli wote hao ni kwaajili ya kutumikia wanasoka?
Nafasi hizi zinatafutwa kukiwa na sababu mbilimbili, moja wazi, nyingine nyuma ya pazia.
hakika kwani yashamwagikaAtapambana ajuavyo
Kabisahakika kwani yashamwagika
Kutakatisha fedha yaanikuingiza fedha zilizopatikana kwa njia jaramu katika mzunguko halali mfano,umepora milion mia unaenda kununua ng'ombe ,mbuzi halafu ukiwauza hela yako inarudi au kuziweka benk au kununua shamba kwa pesa ya madawa ya kulevya au fedha feki.Raundering ndio nini?
Hiyo inaitwa Money Laundering sio Raundering Kama huyo kilaza alivyokuwa kaandikaKutakatisha fedha yaanikuingiza fedha zilizopatikana kwa njia jaramu katika mzunguko halali mfano,umepora milion mia unaenda kununua ng'ombe ,mbuzi halafu ukiwauza hela yako inarudi au kuziweka benk au kununua shamba kwa pesa ya madawa ya kulevya au fedha feki.