Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Anayepaswa kuanzisha na kusimamia hayo ni nani au Taasisi gani ?yeye ndiye alikua anacheza?
acha fitna maana bado hatujazarisha wachezaji wa kupambana?
we uliona wapi wachezaji wanatafutwa kwenye ligi ya diwani?
bila kua na soccer academies za kutosha hakuna tutakalo lifanya.
yeye ndiye alikua anacheza?
acha fitna maana bado hatujazarisha wachezaji wa kupambana?
we uliona wapi wachezaji wanatafutwa kwenye ligi ya diwani?
bila kua na soccer academies za kutosha hakuna tutakalo lifanya.
yeye ndiye alikua anacheza?
acha fitna maana bado hatujazarisha wachezaji wa kupambana?
we uliona wapi wachezaji wanatafutwa kwenye ligi ya diwani?
bila kua na soccer academies za kutosha hakuna tutakalo lifanya.
Malinzi hafai, tifutifu haifai yote si ujinga kuanza upya, moyo umepoa sababu ya maumivu makali sana niliyonayo
Unakumbuka serikali ya mali na serikali ya japan walivyojitoa miaka15 iliyopita?Anayepaswa kuanzisha na kusimamia hayo ni nani au Taasisi gani ?