Huna hata idea ya kesi fuatilia kesi ya Malinzi inahusisha makosa ganiUmejuaje kuwa ni kesi ya "money laundering" kungali hapana ushahidi?? Sheria zetu zina naksi.
Huyo anayeshitaki anatakiwa warau aonesha preliminary proof kwamba kuna aina hiyo ya kosa amelifanya mtuhumiwa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Umejuaje kuwa ni kesi ya "money laundering" kungali hapana ushahidi?? Sheria zetu zina naksi.
Huyo anayeshitaki anatakiwa warau aonesha preliminary proof kwamba kuna aina hiyo ya kosa amelifanya mtuhumiwa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
CCM una akili(TWAWEZA)?
We have no time kufuatilia utumbo wa CCM(Masamaki TRA)Mnabisha hata vitu ambavyo hamjui. Kwa muhtasari hii ndo kesi inayomkabili Malinzi na makamu wake: Rais wa TFF Jamal Malinzi, Katibu Mkuu wa TFF, Mwesigwa Selestine na Mhasibu wa Shirikisho hilo, Nsiande Mwanga walifikishwa Mahakamani leo wakikabiliwa na mashitaka 28, ikiwemo ya utakatishaji fedha Dola za Marekani, 375,418.
Kilichotokea kwenye kesi ya Jamal Malinzi na wenzake Mahakamani leo – millardayo.com
FYI mashitaka ya utakatishaji fedha hayana dhamana, kama mnakumbuka kesi ya Ndama mutoto wa Ng'ombe kafuatilieni kama alipewa dhamana.
We have no time kufuatilia utumbo wa CCM(Masamaki TRA)
Una nini ww boya, acha ujinga walikuwepo akina Nape, Sumaye, Lowasa, Masha, Rostam, Manji sembuse wewe vima? shame on youKama huna muda ulikuja kufanya nini kwenye huu uzi? Acha kudandia mambo usiyoyajua unaanika ulivyo mweupe kichwani
Nilichomaanisha mkuu ni kwamba, ktk misingi ya haki, hauwezi kum-deny mtu haki ya dhamana kwa makosa ambayo mshitaki mwenyewe hajawa na ushahidi ku-establish case anayotuhumu.Huna hata idea ya kesi fuatilia kesi ya Malinzi inahusisha makosa gani
Una nini ww boya, acha ujinga walikuwepo akina Nape, Sumaye, Lowasa, Masha, Rostam, Manji sembuse wewe vima? shame on you
Dioniz Malinzi????Hapana Mkuu bali ni ' Bao ' la ' Ujanani ' kwa Kaka yake yule ambaye nae pia ' katimuliwa ' kule BMT.
Ni baba yake mdogo.Baba yake ni Dionizi Malinzihivi huyu mwanae si mtangazaji wa clouds kipindi cha ala za roho?
Kabisa
Kwani bado ni viongozi.?Muda mchache uliopita Viongozi wa TFF Rais Jamal Emil Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamerudishwa tena Segerea hadi tarehe 31 mwezi huu ambapo Kesi yao itatajwa tena baada ya upande wa Washtaki kukataa ombi la Mawakili wa hawa Viongozi.
Nawasilisha.
Mpuuzi tu yaan mtu afanye wizi wake huko ashitakiwe alafu useme uihusishe ccmHuyo ' Jamaa ' kanikera kweli kuihusisha CCM na suala zima la Kesi ya Jamal Malinzi.
Kumbe CCM ndo wanapeleleza majalada siku hizi mkuu?Hapa utaambiwa upelelezi bado, shame CCM.
Polisi wapo chini ya mfumo upi?Kumbe CCM ndo wanapeleleza majalada siku hizi mkuu?
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
Wakae tuu huko kama walituchakachua. Maana hakuna namnaMuda mchache uliopita Viongozi wa TFF Rais Jamal Emil Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamerudishwa tena Segerea hadi tarehe 31 mwezi huu ambapo Kesi yao itatajwa tena baada ya upande wa Washtaki kukataa ombi la Mawakili wa hawa Viongozi.
Nawasilisha.
Nani kasema?Huyu fisadi hawezi kuchomoka kirahisi hivyo..