Hawa jamaa wa NCARD sometimes Yes sometimes No!
Wapo kianalog analogi sana!
Mwanzoni January walinifyeka 10000 bila kutumia chochote. Nikapiga customer care wakaahidi kushughulikia lakini holaa!
Juzi tena nimeweka elfu hamsini nayo wakalamba kimya kimya bila kutumia! Taarifa nimewapa lakini hamna chochote kinachoendelea!
Sasa naamini haya makampuni ya teknolojia bongo wameamua kuwa vibaka kupitia miamala!
"Mama tapeli, Binti kibaka! House girl mmbeya anavujisha siri, Wacha tuendelee kuishi nao hivyohivyo"
Wapo kianalog analogi sana!
Mwanzoni January walinifyeka 10000 bila kutumia chochote. Nikapiga customer care wakaahidi kushughulikia lakini holaa!
Juzi tena nimeweka elfu hamsini nayo wakalamba kimya kimya bila kutumia! Taarifa nimewapa lakini hamna chochote kinachoendelea!
Sasa naamini haya makampuni ya teknolojia bongo wameamua kuwa vibaka kupitia miamala!
"Mama tapeli, Binti kibaka! House girl mmbeya anavujisha siri, Wacha tuendelee kuishi nao hivyohivyo"