Hivi inakuwaje mkoa mmoja kila wilaya inalipa jinsi inavyopenda?Inaamanaa hili zoezi kila wilaya wilaya linaendesha zoezi hili kila linavypoenda? Hii ina maana tume ya uchaguzi haikupanga kiwango sahihi kwa waboreshaji la daftari kiwango cha kulipa?
Hii inatengeneza loop hole kwa wasimamizi wasaidizi kutengeneza pesa nje ya mfumo rasmi, mfano mkoa wa tabora manispaa sh 30000 posho kwa siku, wilaya ya Igunga 30000 posho na 10000 ya chakula kwa siku, wilaya Urambo 30000 posho,
Wilaya ya Uyui 30000 posho kwa siku, wilaya ya sikonge 30000 posho kwa siku, wilaya kaliua 30000 posho na ya chakula 10000, Nzega 30000 posho na yachakula sh 10000.
My note kwaninni wwngine walipwe posho kazi lakini wasipewe fedha ya chakula? Kuna baadhi ya wilaya hawajazungumzia hela chakula pia ikumbukwe wengi wao wamepagiwa vituo vya mbali nauli peke yake ni zaidi ya 15000 bado hujala.
Serikali iseme nikiwango kipi sahihi mwandikshikaji anatakiwa kulipwa sio kuishiwa kutengenezewa tisheti huku wachache wakiendelea kujinufaisha.
Hii inatengeneza loop hole kwa wasimamizi wasaidizi kutengeneza pesa nje ya mfumo rasmi, mfano mkoa wa tabora manispaa sh 30000 posho kwa siku, wilaya ya Igunga 30000 posho na 10000 ya chakula kwa siku, wilaya Urambo 30000 posho,
Wilaya ya Uyui 30000 posho kwa siku, wilaya ya sikonge 30000 posho kwa siku, wilaya kaliua 30000 posho na ya chakula 10000, Nzega 30000 posho na yachakula sh 10000.
My note kwaninni wwngine walipwe posho kazi lakini wasipewe fedha ya chakula? Kuna baadhi ya wilaya hawajazungumzia hela chakula pia ikumbukwe wengi wao wamepagiwa vituo vya mbali nauli peke yake ni zaidi ya 15000 bado hujala.
Serikali iseme nikiwango kipi sahihi mwandikshikaji anatakiwa kulipwa sio kuishiwa kutengenezewa tisheti huku wachache wakiendelea kujinufaisha.