- Thread starter
- #21
Kazi zenyewe zimeingiliwa na mchwaKwa mtazamo huu, akija mtu akakupa 30,000 ili umchakachulie matokeo yake utakataa?
Amandla....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi zenyewe zimeingiliwa na mchwaKwa mtazamo huu, akija mtu akakupa 30,000 ili umchakachulie matokeo yake utakataa?
Amandla....
NaaamKazi zenyewe zimeingiliwa na mchwa
Nani anajitolea katika kizazi hiki cha fisi porikua mzalendo gentleman, jifunze kujitolea 🐒
mzalendo yeyote kwa Taifa anafaa kujitolea kwa jali na mali kwa maslahi mapana ya Taifa lakeNani anajitolea katika kizazi hiki cha fisi pori

Hii hela siyo mapato ya halmashauri mkuu usidanganye watu hili ni fungu lililotengwa na limetoka serikalini kupelekwa katika halmashauri zote kulingana na idadi ya vituo na watu watakaoajiriwa ,, ingawa mimi sijabahatika kupata hiyo fursa ila halmashauri malipo ni 40000 ambayo ni semina siku 2 ni 80000 na kazi ni 30000 × 10 na chakula ni 10000 ×10 total ni 480000Mkuu em tulia dawa ikuingie. Kwa sababu zifuatazo.
1. Sifa moja ya kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura serikal za mitaa ni uwe mtumishi
2. Kumbuka mwajiri wako hapo sio tume ya uchaguzi na ndio maana INEC kwenye zoezi la brv waliweka wazi kabsa posho itakuwa sh 50000 wewe hapo mwajiri wako ni mkurugenzi wa halmashaur unayofanyia kazi
3. Sasa kama mwajiri wako ni mkurugenz wako iweje umpangie akulipe sawasawa na halmashaur nyingine?
4. Labda halmashaur yako haina mapat ya kutosha na ndio maana kila moja anaandikisha ndan ya kata au mtaa wake
N.b wewe ni mtumishi wa umma kama hujaridhika wambie wale watu wa akiba waje waendeleze zoezi maana utatuharibia zoezi letu
Kuna kwingine iyo 10000 ya chakula imepigwa na haijatangazwa na wanasema hawaezi kuitoa labda wawafukuze kaziHii hela siyo mapato ya halmashauri mkuu usidanganye watu hili ni fungu lililotengwa na limetoka serikalini kupelekwa katika halmashauri zote kulingana na idadi ya vituo na watu watakaoajiriwa ,, ingawa mimi sijabahatika kupata hiyo fursa ila halmashauri malipo ni 40000 ambayo ni semina siku 2 ni 80000 na kazi ni 30000 × 10 na chakula ni 10000 ×10 total ni 480000
Mkuu uwe unauliza kwanza kama halmashauri yako wamelipwa hvyo usichukulie kuwa kila halmashaur wanalipa hvyo fanya utafiti ndiyo urudi hapaHii hela siyo mapato ya halmashauri mkuu usidanganye watu hili ni fungu lililotengwa na limetoka serikalini kupelekwa katika halmashauri zote kulingana na idadi ya vituo na watu watakaoajiriwa ,, ingawa mimi sijabahatika kupata hiyo fursa ila halmashauri malipo ni 40000 ambayo ni semina siku 2 ni 80000 na kazi ni 30000 × 10 na chakula ni 10000 ×10 total ni 480000
Hakuna cha utafiti hapo jibu ni kuwa kazi imeingiliwa na mchwa full stopMkuu uwe unauliza kwanza kama halmashauri yako wamelipwa hvyo usichukulie kuwa kila halmashaur wanalipa hvyo fanya utafiti ndiyo urudi hapa
Nakwanini aende kama hajaridhika au kama hajaambiwa maslahi yake?Mkuu em tulia dawa ikuingie. Kwa sababu zifuatazo.
1. Sifa moja ya kupata kazi ya kuandikisha wapiga kura serikal za mitaa ni uwe mtumishi
2. Kumbuka mwajiri wako hapo sio tume ya uchaguzi na ndio maana INEC kwenye zoezi la brv waliweka wazi kabsa posho itakuwa sh 50000 wewe hapo mwajiri wako ni mkurugenzi wa halmashaur unayofanyia kazi
3. Sasa kama mwajiri wako ni mkurugenz wako iweje umpangie akulipe sawasawa na halmashaur nyingine?
4. Labda halmashaur yako haina mapat ya kutosha na ndio maana kila moja anaandikisha ndan ya kata au mtaa wake
N.b wewe ni mtumishi wa umma kama hujaridhika wambie wale watu wa akiba waje waendeleze zoezi maana utatuharibia zoezi letu