Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupendane na sio kuvizia nani aliemuomba mungu kinyume na unavotaka wewe ili umkamate!Maisha ya kuvizia watu na kuwapoteza sio maisha ya mtanzania tupendane bandugu!
Apumzike Kwa AmaniKwani Tayari?
Tayari nn mkuu?Kwani Tayari?
Ile anasema ukimfanyia mabaya na yeye ukifa atafufahia?Mtu anaemuombea mwenzie mabaya, akumbuke hata yeye ipo siku yatamkuta.
Masiku kadhaa yaliyopita kuna member mmoja humu alipost ujinga wa kumtakia mtu flani mabaya/afe. Moderator hawakuchelewa, wakaifyekelea mbali thread yake...
Shiba kabisaNgoja ninywe soda na pilau kama mambo tayar
MUNGU, anatishaaaa!!!Ujumbe naowapa ndugu zangu mchana wa leo ni kwamba tutende wema. Usimuumize mwenzio. Malipo ni hapahapa duniani.
Mtag ndugu yako mwambie malipo ni hapa hapa duniani. Kuna watu leo hii wanateseka wanatamani wafumbue macho waombe msamaha lakini wapi
Pole mpenzi utakua umeamini kuwa Covid ipo na inaua, tulitaka tupoteze mtu muhimu ndio hakili zikae sawa. TuAniache kabisa yaani