Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Hata mimi kanipiga block insta na Facebook, tapeli yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimatapeli wakubwa sana wakishirikiana na james mbowe, thadei ole Mushi na yericko nyerere, hawa wote wameniblockMalisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.
Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....
Siku moja ukweli utawekwa wazi...
Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news
Haswa.🤓😆Wananchi wanataka sana majibu ya kero zao toka kwa Nape au Malisa? Kama kiongoz hupasw kukimbia spana!!
Ume ua kwa uchungu kabisa. "Tapeli yule"Hata mimi kanipiga block insta na Facebook, tapeli yule
Mwacheni Malisa G, jamani ana haki kama Mtanzania yeyote yule kutaka kujuzwa na Kiongozi au Mwakilishi wake yanayojiri Nchini mwake au Serikalini.Leo kwenye post ya kada wa chama cha Mbowe ndugu Yericko Nyerere nimeona post inayoelezea kada mwenzie Malisa Godlisten akilalamikia kulamba Block toka kwa Mheshimiwa Nape huko Twitter. Mimi sifurahishwi kabisa na mambo ya watu kupigana block mitandaoni kwasababu ni mwanzo wa chuki na upotevu wa amani. Sio jambo dogo kama linavyochukuliwa. Ikitoka block ya mtandaoni itafuatia block ya nje ya mtandao ambayo ni mbaya sana.
Nimemwonea huruma Malisa kwa kilichomkuta ila naye akumbuke kuwa hana tofauti na Nape kwenye suala la block. Tena inawezekana Nape ana unafuu kuliko Malisa. Huyu kada wa CHADEMA ukitoa maoni tofauti na yake unakula block fasta. Wahanga wa hii tabia yake mbaya ni wengi sana. Malisa hana uvumilivu wowote wa kisiasa na dikteta aliyejificha kwenye mwamvuli wa kusaidia watu.
Kama ameamua kuwa msaidiaji wa wenye shida kupitia watanzania wenzake basi ajikite zaidi huko badala ya ku-block watu ambao pia huchangia pesa kila anapotoa wito. Malisa anafanya mazuri mengi ila anaharibu kwa kitu kidogo ambacho ni kutoruhusu mawazo tofauti kwenye mada zake anazopost. Tabia aliyo nayo Malisa ndo tabia ya madikteta wote waliowahi kuwepo duniani na waliopo kwa sasa.
Namkumbusha kijana huyu kubadilika kwa sababu tabia hii ikiendelea itazaa tabia nyjngine mbaya zaidi ya kutotaka kupingwa kwa lolote. Yeye akiitwa coward atafurahi? Kuhusu kusaidia wenye shida tuendelee kumuunga mkono.
View attachment 2695600
Kwahiyo Nnape kwasababu ni kiongozi,ana akili kuliko Malissa au Rais kwasababu ni kiongozi,ana akili kuliko wananchi wote?Huyu Kilaza Malisa sijui huwa anajikuta ni nani?Mimi tokea kipindi kile 2015 aliposema eti wanakwenda kushtaki Uholanzi baada ya kushindwa uchaguzi,nilihitimisha kijana ni mwepesi sana.Sasa hivi huyu ni wa kumwita Nape Mjinga?Malisa bwana hebu na yeye atuwekee matokeo yake ya form four? AKIWA KAFAULU SANA BASI ATAKUWA NA DIV 3.
Yeye anataka demokrasia? Atende anayopendwa kutendewaMwacheni Malisa G, jamani ana haki kama Mtanzania yeyote yule kutaka kujuzwa na Kiongozi au Mwakilishi wake yanayojiri Nchini mwake au Serikalini.
Hatutaki Demokrasia?
Eti nawe uitwe "Great Thinker???" Kazi ipo kweli kweli. Matongee🤣🤣🤣🤣🤣Coward inamaanisha hiyo K yako ya nyuma. Nadhani umeelewa.
Ktk wkt sijawahi kukubali hoja yako ni leoMalisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.
Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....
Siku moja ukweli utawekwa wazi...
Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news
Mimi sio Yesu. Ukinipiga kofi shavu la kushoto nakurudishia ngumi ya pua.Eti nawe uitwe "Great Thinker???" Kazi ipo kweli kweli. Matongee🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani huyo jamaa hapendi kukosolewa kabisa, anajiona muda wote yupo right hakoseiTena inawezekana Nape ana unafuu kuliko Malisa. Huyu kada wa CHADEMA ukitoa maoni tofauti na yake unakula block fasta.
Boss una ushahidi wa kuthibitisha utapeli wake?Malisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.
Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....
Siku moja ukweli utawekwa wazi...
Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news