Malisa GJ huna uhalali wa kumlalamikia Nape kuku-block. Wewe ni kinara wa kupiga block

Malisa GJ huna uhalali wa kumlalamikia Nape kuku-block. Wewe ni kinara wa kupiga block

Malisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.

Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....

Siku moja ukweli utawekwa wazi...

Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news
Nimatapeli wakubwa sana wakishirikiana na james mbowe, thadei ole Mushi na yericko nyerere, hawa wote wameniblock
 
🤓🤓🧐🤯Its hillarious.
Why? Because it can be circumvented.

Labda isiwe inawezekana hivyo kwa twitta ya sasa.

Ila basi kwa kisa cha Nape kushinda na bao la mkono na kutokuogopa marefa, watizamaji na wala kanuni na sheria za Kucheza kwa Uwazi na Usawa halafu anamwogopa Malisa....Wololo🤭 wacheni nicheke.

Nape angekufa kiume tu.

 
Leo kwenye post ya kada wa chama cha Mbowe ndugu Yericko Nyerere nimeona post inayoelezea kada mwenzie Malisa Godlisten akilalamikia kulamba Block toka kwa Mheshimiwa Nape huko Twitter. Mimi sifurahishwi kabisa na mambo ya watu kupigana block mitandaoni kwasababu ni mwanzo wa chuki na upotevu wa amani. Sio jambo dogo kama linavyochukuliwa. Ikitoka block ya mtandaoni itafuatia block ya nje ya mtandao ambayo ni mbaya sana.

Nimemwonea huruma Malisa kwa kilichomkuta ila naye akumbuke kuwa hana tofauti na Nape kwenye suala la block. Tena inawezekana Nape ana unafuu kuliko Malisa. Huyu kada wa CHADEMA ukitoa maoni tofauti na yake unakula block fasta. Wahanga wa hii tabia yake mbaya ni wengi sana. Malisa hana uvumilivu wowote wa kisiasa na dikteta aliyejificha kwenye mwamvuli wa kusaidia watu.

Kama ameamua kuwa msaidiaji wa wenye shida kupitia watanzania wenzake basi ajikite zaidi huko badala ya ku-block watu ambao pia huchangia pesa kila anapotoa wito. Malisa anafanya mazuri mengi ila anaharibu kwa kitu kidogo ambacho ni kutoruhusu mawazo tofauti kwenye mada zake anazopost. Tabia aliyo nayo Malisa ndo tabia ya madikteta wote waliowahi kuwepo duniani na waliopo kwa sasa.

Namkumbusha kijana huyu kubadilika kwa sababu tabia hii ikiendelea itazaa tabia nyjngine mbaya zaidi ya kutotaka kupingwa kwa lolote. Yeye akiitwa coward atafurahi? Kuhusu kusaidia wenye shida tuendelee kumuunga mkono.

View attachment 2695600
Mwacheni Malisa G, jamani ana haki kama Mtanzania yeyote yule kutaka kujuzwa na Kiongozi au Mwakilishi wake yanayojiri Nchini mwake au Serikalini.
Hatutaki Demokrasia?
 
Huyu Kilaza Malisa sijui huwa anajikuta ni nani?Mimi tokea kipindi kile 2015 aliposema eti wanakwenda kushtaki Uholanzi baada ya kushindwa uchaguzi,nilihitimisha kijana ni mwepesi sana.Sasa hivi huyu ni wa kumwita Nape Mjinga?Malisa bwana hebu na yeye atuwekee matokeo yake ya form four? AKIWA KAFAULU SANA BASI ATAKUWA NA DIV 3.
Kwahiyo Nnape kwasababu ni kiongozi,ana akili kuliko Malissa au Rais kwasababu ni kiongozi,ana akili kuliko wananchi wote?
Huoni wewe ni mmoja wa watu wanaowafanya viongozi waamini wana akili kuliko wananchi,matokeo yake ni hayo ya DP world?
 
Malisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.

Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....

Siku moja ukweli utawekwa wazi...

Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news
Ktk wkt sijawahi kukubali hoja yako ni leo
 
Eti nawe uitwe "Great Thinker???" Kazi ipo kweli kweli. Matongee🤣🤣🤣🤣🤣
Mimi sio Yesu. Ukinipiga kofi shavu la kushoto nakurudishia ngumi ya pua.
 
Dah!!

Kijana analia kisa amekuwa blocked twitter?
 
Malisa tapeli Sana...anafikiri atadanganya watu milele.

Anajinufaisha na misaada anayojifanya anachangisha ....

Siku moja ukweli utawekwa wazi...

Bado pia ni msambazaji mkubwa wa fake news
Boss una ushahidi wa kuthibitisha utapeli wake?
 
Malisakaniblock insta
Kisa aliandika stend ya magufuli imebadilishwa jina.nikamuambia tu sio kweli kaka hyo habari ni ya zamani.nimekumiss malisa naomba uniunblock sasa nilikosea nini jamani me fan wako

Sent from my SM-A725F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom