Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichwa ukikijaza Usimba na Yanga hata ajadiliwe Mwakinyo utahisi wanaijadili timu yako.Nahisi hii hoja imeibuliwa kimkakati sasa hivi kuwavuruga viongozi na mashabiki wa Simba kuelekea gemu la Wydad.
Nina yangu ya kusema kuhusu hili ila nikiyasema nitaingia kwenye mtego kama wengine mlivyoingia.
Utaachaje wewe kubwa la vinye..Nikiambiwa nichague kinyec na yanga mi nachagua kinyes. Stupd kabisa
Wewe amini unachoamini. Inawezekana hauielewi nchi hii vizuri. Ngoja uone taarifa hizi zitakavyoathiri idadi ya mashabiki hapo kesho pamoja na kwamba ni sikukuu ndiyo utanielewa.Kichwa ukikijaza Usimba na Yanga hata ajadiliwe Mwakinyo utahisi wanaijadili timu yako.
Hata kama watakuwa na uwanja wao makato yatakayo pungua hapo ni gharama za uwanja tu.Karia na wapambe wake, ni wapigaji tu pale TFF. Hilo halina ubishi.
Ila inasikitisha pia kuona miaka nenda timu kubwa na kongwe kabisa nchini za Yanga na simba kukosa viwanja vyao binafsi. Yaani timu za juzi tu kama Azam Fc, Ihefu Fc, Namungo Fc, Mtibwa Fc, JKT Tanzania, nk. Vina viwanja vyao
Lakini ukija kwa hivi vilabu vikuu na vikongwe nchini! Kila siku viongozi wao wanaleta tu porojo. Viwanja kama hivyo vya Taifa, Huru, nk. Vilitakiwa kutumika kwenye timu za Taifa, nk.
Kama Yanga na simba wangekuwa wanamiliki viwanja vyao vya michezo, huo wizi na hayo makato yasiyo na kichwa wala miguu; yasingekuwepo.
Makato yapo pale pale.Yanga na Simba wajenge viwanja vyao ili waache kulia lia kila siku.