Malkia Amanirenas: Shujaa wa kiafrika aliyeishinda dola ya Kirumi

Asante umenikumbusha mbali kwa nini Ethiopia ni moja ya nchi Africa ambayo haikutawaliwa
 
Kushi ni sudan au ethiopia?
Kush ni jamii ya wethiopia wa kale waliwahi tawala mashariki ya kati na baadae misri na sudan na mwishoni wakasettle ethiopia ya sasa hivyo wakush ni jamii ya ki-hamiti yaani ethiopia djibouti Eritrea somalia n.k ila kwa kipindi hiki cha Amanirenas walikuwa bado wanaitawala sudan (Nubia) na misri ya enzi hizo kupitia 25th dynasty ambayo ilitoa mafarao weusi wa kicush

Sijui nmejibu swali lako
 
Africa ya sasa wamama mashujaa ni too scarce, ila wakitokea wanakuwa vzr sana refer Elen Johnson Sallif
 
@zitto junior uko deep hadi unaboa, Congratulations to you.
 
Hao wanaotajwa hapo ni wanyiramba na wanyaturu sio waethiopia hao mnaowaona Leo.

OVER.
 
Kumbe magari sio kitu kipya, babu alinambia kitu chochote chenye jina la lugha ya kiswahili au kibantu wazungu wamekikuta kwetu, magari tulikuwa nayo sisi,
 
USD 20 billions??? Wakati biblia inasema Selemani alikuwa na utajiri wa dhahabu zenye uzito wa tani 666.

Ikiwa na maana amekamilika, bado ng'ombe bado mbuzi na kondoo, ambapo kuna sherehe 1 tu alichinja Ng'ombe 20,000 na kondoo 120,000 huyu utajiri wake ni zaidi ya USD 1000bilions
 

Nimezungumzia mali alizoachiwa na Mfalme Daudi (baba yake) kwa ajili ya ujenzi wa hekalu.
 
Nimezungumzia mali alizoachiwa na Mfalme Daudi (baba yake) kwa ajili ya ujenzi wa hekalu.
Nimekuelewa haswaa, ila jamaa alikuwa tajiri sana. Na ninasikia alimgawia huyo mama sehemu ndogo Sana ya utajiri ndiyo maana Ethiopia ina nguvu toka zaman sana, pia ule utajiri Israel ilipovamiwa Warumi walibeba dhahabu na fedha yote wakaenda kununua plot pale Italy kwenye mji wa Roma na kujenga ngoma ya Vatican, sijui mwenye taarifa kamili ajazie hapa, ila asili ya Katoliki ni warumi,
 
Pamoja sana mkuu, ni muhimu sana kujikumbusha hizi historia zetu
Ni kweli Mkuu nimekuwa nimepata mengi sana na weekend hii nikiwa nimetulia Home na bundle langu kuna baadhi ya post na zipitia km hili la uwongozi wa marekali Bado lina ni changanya juu ya uwongoz wao kidg
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…