MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Soft copy yake sina lakini ninazo nyingine naweza kukutafutia nyingineHahaaaa 20yrs agoo duuh..
Nimesema kama una soft copy yake mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soft copy yake sina lakini ninazo nyingine naweza kukutafutia nyingineHahaaaa 20yrs agoo duuh..
Nimesema kama una soft copy yake mkuu
Kama hutajali naomba nipatie broh,Soft copy yake sina lakini ninazo nyingine naweza kukutafutia nyingine
Zitto junior, Ipi imani iliyo sahihi, na ipi haiko sahihi hebu nisaidie hapoMkuu kuhusu imani kupotoshwa na Mungu kuruhusu nafkiri alishatuasa kwenye biblia kuhusu kuja kwa manabii wa uongo ambao watapotosha misingi ya imani na kweli na watatupeleka katika kuamini imani zisizo sahihi hivyo ni kazi kwetu sisi tunaofuata imani hizi kutambua ipi ipo kwenye msingi wa imani na ipi imekengeuka ili tusije kujikuta tunaongozwa na makanisa ya manabii wa uongo waliokuja kupotosha imani yetu huo ndio mtazamo wangu
Cc Son of Gamba
hakuna dini sahihi, lkn imani sahihiZitto junior, Ipi imani iliyo sahihi, na ipi haiko sahihi hebu nisaidie hapo
namfaham malikia wa Angola nzinga mbande alipigana na wareno kipindi kirefu akiongoza dola ya matamba, Angola ya sasa... alipambana na wareno kwa juhudi na Muda mrefuNaskia kati ya Rwanda au Kigoma pia kulikuwa na queen mmoja strong sana,jina nimelisahau
Wala sijali Da'Vinci nipatie E-mail address yako nikutumie maana vitabu vina ukubwa za zaidi ya MB 41 na kila nikijaribu kuweka hapa naona inachora mstari kwamba imeshindikana.Kama hutajali naomba nipatie broh,
Imani sahihi ni kumuabudu Mungu wa kweli if at all unaamini Mungu yupo kama mimi ila hizi dini ingawa zina nia moja ila procedure zao ndio zinatofautiana na ndio zimetuletea matatizo makubwa sisi wanadamu hadi kutufikisha hapa tulipo hadi wengine kuitumia kutugawa na kututawalaZitto junior, Ipi imani iliyo sahihi, na ipi haiko sahihi hebu nisaidie hapo
Noted mkuuWala sijali Da'Vinci nipatie E-mail address yako nikutumie maana vitabu vina ukubwa za zaidi ya MB 41 na kila nikijaribu kuweka hapa naona inachora mstari kwamba imeshindikana.
mkuu hizi ndondo nimezikubali sana. ila timing za utawala wa huyu mama kwa mujibu wa bandiko lako, na mwaka wa huyu mkushi anabatizwa ilikuwa ni ACE 33+ , ila umenifungua akili sana maana ni wiki hii tu tulikuwa tunajifunza kuhusu huyo jamaa lakini Kandake sikuwahi kudhani ni kitu chenye kuchukua umakini na chenye kina kikubwa kiasi hicho.Sawa mkuu ila ingawa biblia haijamtaja kandake amanirenas moja kwa moja ila naona jina lake halikuachwa nyuma.
Matendo 8:27
27 Naye akaondoka, akaenda; mara akamwona mtu wa Kushi, towashi, mwenye mamlaka chini ya Kandake malkia wa Kushi, aliyewekwa juu ya hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu
ubarikiwe mkuu.Mkuu zitto junior kwenye hii vita Amanirenas alipigana na Wagiriki siyo Warumi.
Alipigana na Mfalme Alexander mkuu wa Makedonia baada ya kuvamia Egypt (Kemet) karne ya 332 BC.
Prof John Henrik Clarke ndiyo aliyeandika vizuri hili tukio na kusema kwenye vita Amanirenas alitolewa jicho moja.
Kwenye mkataba wa Amani aliwatishia wajumbe wa Alexander kwamba akirudi tena atamkata kichwa na kukutundika juu.
Jambo jingine muhimu kukumbuka ni kwamba huyu siyo wa kwanza kupigana na mataifa makubwa.
Wakushi wa zamani/Wasudan/Waethiopia/Wasomali wa leo walivamiwa na mfalme Cambyses (Mtoto wa Koreshi Mkuu) wa Umedi na Uajemi lakini wao pia walimshinda. Waajemi walikuwa hawana utaalamu wa kupigana vita kwenye jangwa na mlimani, sasa ukisoma vizuri historia wanakwambia Wakushi ndiyo walikuwa wataalamu wa kupiga mishele. Wakushi walijificha kwenye mchanga wa jangwa na waajemi walivyochoka walianza kuwapiga mishale. Wenyewe wanasema walikuwa na shabaha wakawa wanalenga kichwani na machoni tu. Waajemi baada ya kuzidiwa wakaamua kukimbia.
Baada ya hii vita Wafalme wa Misri na Uajemi walikuwa wanakuja kuwakodi wapiga mishale kutoka kwenye Kush kwenda kupigana vita zao. Mfalme Dario na Ahasuero (Artaxerxes) walikuwa wanafanya hivi sana......
Soma hapa:Cambyses - Encyclopedia
Kweli mkuuMekeda au Bilkis alitawala kipindi ambacho ufalme wa Sheba ulikuwa ndiyo unatawala hadi ufalme wa Misri.
Ndiyo maana alivyoenda kwa Suleimani alitambulishwa kama Malkia wa Misri na Sheba. Mekeda alienda kumjaribu Mfalme Suleimani kwasababu kipindi hicho kabla ya Suleimani kuwa mfalme, yeye ndiyo alikuwa anasifika kwa Utajiri na Akili nyingi hapa duniani. Kwenda kule alichokiona kilimfanya abaki mdomo wazi tu na kwasababu alikuwa hana mwanaume akaona ni vyema kabisa azae na Suleimani ndiyo wakamzaa Mfalme Menelik I au David II.
Ikumbukwe mfalme Suleimani mbali na kuwa na mali nyingi sana.
Sehemu kubwa ya utajiri wake ilikuwa ni Urithi kutoka kwa baba yake Mfalme Daudi. Lile hekalu na kasri lake la kifalme vilikuwa ni utajiri ulioachwa na Daudi. Mfano mzuri tu Daudi alianga madini ya thamani kwa ajili ya kujengea hekalu ambapo katika kiwango cha leo gharama yake ilikuwa ni 20 Billion USD ambazo ni sawa na Trillion 40 na ushee (Bajeti ya nchi kwa miaka 2 hivi). Sasa Malkia wa Sheba kuona haya akawa mpole tu. Nebukadrezza na Farau walivyovamia Israel walipata utajiri mwingi sanaaa.
Huyo Cleopatra huwa simhesabii sana kama Malkia wa Afrika kwasababu alikuwa ni Mgiriki.
Baada ya Alexander kufa na ufalme wake kugawanyika vipande vinne, jemedari wa Alexander aitwaye Ptolemy ndiyo alipewa Misri (Kemet) atawale. Sasa Cleopatra ni mzao wa Ptolemy ndiyo maana mimi huwa sipendi kumchukulia kama mmisri asilia. Japo hata hivyo zaidi ya kutumia ngono kuwalaghai wanaume wa Kirumi alikuwa hana cha ziada kama hawa wakina Mekeda na Amanirenas.
Hivi magu nae yupo!TUANSHUKURU SANA ILA NA NYIE WAALIMU NA WATU WA KWENYE SEKTA YA ELIMU, MNATAKIWA KULITAZAMA ILI JAMBO KWA JICHO LINGINE KAMA NILIVO GUSIA HAPO AWALI KUWA MATATIZO YA ELIMU HAYAPO KWA WATOTO ILA MITAALA YETU HAYA HUKU CHINI NI KUFUNDISHANANI UWOGA NA UDHAIFU(INFERIORITY) HUWEZI TENGENEZA MASHUJAAA WENYE UHURU WA AKILI NA KIMAWAZO KAMA MIZIZI YAKE HUJENGWA KWA HISTORIA DHAIFU INAYOMWONESHA KUWA YEYE KAMWE KATIKA DUNIA HII WATU WAKE HAWAJAWAI KUTHUBUTU WALA KUSHINDA KITU.........INASIKITISHA SANA NA TUTAPATA TABU SANA MPAKA HAO WAZEE WA ENZI WA UKOLONI NA WENYE MINDSET YA KARNE YA 19 NA 20 WATOKE WALIKO NA WAACHIE WATU WENYE MAWAZO MAPYA KAMA KAGAME/MAGU WALAU.
it is me naona unapita kimya kimya bila kusema chochote
Prof Henrik Clarke si ndiyo aliandika kitabu cha black history mkuuProf.John Henrik Clarke and Prof.Ben Yosef Jochannan..R.I.P GRAND MASTERS AND MY MENTORS
vitabu vyake navyojua hicho sijakutana nacho lakini in general vitabu na lecture zake zilikuwa ni kuhusu african studiesProf Henrik Clarke si ndiyo aliandika kitabu cha black history mkuu
Ova
Upo nje ya mada kabisa ianzishie uziHivi unajua alieficha hii historia ya watu weusi kwa kiasi kikibwa ni Kanisa Katoliki chini ya Papa Julius wa Pili ???
Alimtuma Michael Angelo achore upya michoro ya Yesu mzungu na mama yake, na siyo kutumia ile michoro ya zamani al maarufu kama The Black Madonna. Akawadanganya waumini wake kwamba sanamu la Black Madonna lilikuwa jeupe lakini kuna nyota ilishuka karne ya 16 na kubadilisha sanamu kuwa jeusi. Haya ni maneno ya Dr Yosef ben Jochannan
Hata hivyo naomba nikuulize swali lifuatalo:
Hivi kwanini Wakatoliki mnamwabudu Yesu Mzungu ??? Ndugu Kudo na zitto junior naomba mtusaidie hapa.
NB: Hili siyo swali la kidini bali la kihistoria, sawa na kusema Mtume Muhammad S.A.W alikuwa na wake wangapi.
Labda wewe ndiyo hujaelewa vizuri mada mkuu.Upo nje ya mada kabisa ianzishie uzi